LHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YA NUSU MWAKA KUANZIA JANUARY HADI JUNI 2014
Dotto Mwaibale
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimesema kuwa hadi kufikia Juni 2014 wanawake na wasichana 2878 wamebakwa nchini kutokana na vitendo vya ukatili dhidi yao.
Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Dk. Helen Kijo-Bisimba wakati akitoa taarifa ya kipindi cha nusu mwaka kuanzia Januari na Juni mwaka huu kwa vyombo vya habari Dar es Salaam leo.
"Vitendo hivyo vya kikatili dhidi ya makundi hayo vilivyoripotiwa polisi kwa nchi nzima vilikuwa 3,633"...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziLHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MWENENDO WA MCHAKATO WA UTUNGAJI WA KATIBA MPYA TANZANIA UNAOENDELEA DODOMA
11 years ago
Michuzi12 Jul
10 years ago
GPLLHRC CHATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA MWENENDO NA HATUA ZA KISHERIA KWA VIONGOZI WA UMMA WANAOKIUKA MAADILI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-q7yM2sYFiC4/UwnQdON95rI/AAAAAAAFPAY/JyunHDK5tTo/s72-c/TFF1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XGhZd99YKeQ/VIw4QNl7W9I/AAAAAAAAZTs/rSLJ7lyDihg/s72-c/David-Misime.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 13/12/2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-XGhZd99YKeQ/VIw4QNl7W9I/AAAAAAAAZTs/rSLJ7lyDihg/s1600/David-Misime.jpg)
Nataka kuwahakikishia wananchi wote wa mkoa wa Dodoma kwamba Polisi tumejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola kusimamia usalama siku hiyo. Hivyo wananchi wajitokeze kupiga kura na wala wasiwe na hofu kwani ulinzi utaimarishwa katika vituo vyote vya kupigia kura na maeneo...
10 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA YA PATO LA TAIFA KWA ROBO YA KWANZA YA MWAKA,JANUARY-MACHI 2014
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YTGzYmvIV0s/UwRr7crv9zI/AAAAAAAFN5k/1KKCzcuDgrI/s72-c/IMG_1100.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Feb