Ligi Kuu Tanzania na Uingereza watafungua zawadi za Chrismass kwa michezo 16 Dec 26 na 27 …
Ikiwa bado watu wapo katika shamrashamra za sikukuu ya Chrismass, sio vibaya nikukupa taari za wapi ukafungulie zawadi zako za Chrismass siku ya Jumamosi ya December 26 Boxing Day au hata Jumapili ya December 26. Najua weekend itakuwa ndefu sana mtu wangu ila sio tatizo, naomba nikusogezee ratiba ya mechi kali za soka za Ligi […]
The post Ligi Kuu Tanzania na Uingereza watafungua zawadi za Chrismass kwa michezo 16 Dec 26 na 27 … appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s72-c/k1.jpg)
JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s640/k1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Chue-Q3vdoA/U3ZgKu1ammI/AAAAAAAFiKA/9Z3JcCLh4qI/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Vodacom kukabidhi zawadi kwa Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Mei 27
![](http://4.bp.blogspot.com/-Chue-Q3vdoA/U3ZgKu1ammI/AAAAAAAFiKA/9Z3JcCLh4qI/s1600/unnamed+(3).jpg)
Bingwa wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2013/2014 timu ya Azam FC itakabidhiwa kitita chake cha zawadi Sh 75 Milioni Mei 27...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UNKRqpeLY3A/VXgG4S3q9lI/AAAAAAAHePY/_TlAftJ_66k/s72-c/Vodacom_League_logo_3D.png)
VODACOM KUTOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI KUU TANZANIA BARA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UNKRqpeLY3A/VXgG4S3q9lI/AAAAAAAHePY/_TlAftJ_66k/s640/Vodacom_League_logo_3D.png)
Hafla ya utoaji wa zawadi hizo itafanyika katika ukumbi wa JB Belmonte (Kilimanjaro) uliopo katika jengo la Golden Jubilee Tower (PSPF), mtaa wa Ohio eneo la Posta Mpya jijini Dar es salaam kuanzia saa 12 jioni.
Mgeni rasmi katika halfa hiyo ya utoaji zawadi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TjQZxgU6kIM/VPCyX8ijXKI/AAAAAAAHGVA/7D2xAtQvs4E/s72-c/unnamedn.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1vJa_DOW3zw/VQPuLUs5b2I/AAAAAAAHKNs/MXBmTtOcI0o/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
10 years ago
Michuzi26 Sep