Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIPUMBA: Rais ajaye aunganishe wizara ya fedha na mipango ya uchumi

Baada ya miaka 54 ya uhuru wa Tanganyika, Watanzania wengi ni masikini wa kutupwa. Watoto 42 katika kila 100 wamedumaa. Hawana lishe bora na hivyo hawawezi kujenga ipasavyo ubongo wao, kinga ya mwili na maungo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO

Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini AddisAbaba –Ethiopia. Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na kamisheni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akutana na watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango

IMG_6071

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali  Dkt. Servacius Likwelile akitoa ufafanuzi kwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji kabla ya kuanza majadiliano na watendaji wa Wizara na Taasisi.

IMG_6171

Naibu Waziri, Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiongea na watendaji wa Wizara na Taasisi alipokutana nao katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango. 

Akizungumza na uongozi wa Wizara na Taasisi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji aliwaasa...

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Mpango awaasa Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi.

Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango wameaswa kufanya kazi kwa weledi na kuwekeza nguvu zaidi katika ukusanyaji mapato ili kukuza uchumi wa nchi na kuifanya nchi iwe kitovu cha uchumi Barani Afrika. Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango alipokuwa akiongea na watendaji wa Wizara hiyo alipowasili Wizarani hapo mara baada ya kuapishwa jana Ikulu jijini Dar es salaam.  Katika mazungumzo yake na watendaji hao, Mhe. Dkt. Mpango, aliuagiza uongozi wa Wizara yake...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango katika Kikao cha utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba 2019,kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa (katikati) alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji Mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Disemba 2019,wakati wa  kikao cha uongozi wa Wizara hiyo,kilichofanyika...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi katika kikao cha utekelezaji wa Mpango kazi kwa robo mbili ya Julai-Disemba 2019/2020 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar. (Picha na Ikulu) Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo,Maliasili,Mifugo na Uvuvi Nd,Marium Abdalla Saadala (kushoto) pamoja na watendaji mbali mbali katika Wizara hiyo wakiwa katika kikao cha utekelezaji Mpango kazi kwa robo...

 

10 years ago

Mwananchi

FIKRA YA LIPUMBA: Rais ajaye ajifunze kutoka Rwanda

Baada ya kujiuzulu kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CUF nimerejea katika shughuli za utafiti. Tangu mwaka 2011 nilipokutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, nilimueleza nia yangu ya kufanya utafiti wa nini Tanzania inaweza kujifunza kutoka Rwanda.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AKISOMA HALI YA UCHUMI NCHINI

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, akiwasilisha hali ya uchami nchini, Bungeni jijini Dodoma. Juni 11, 2020. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

9 years ago

Mwananchi

Kibarua kizito cha kukuza uchumi kwa Rais ajaye

Mengi yamezungumzwa juu ya hali ya uchumi wa Tanzania na mustakabali wake wakati huu wa kampeni.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DK. PHILIP MPANGO AWASILISHA BUNGENI HALI YA UCHUMI NCHINI, LEO

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, akiwasilisha Taarifa ya hali ya uchami nchini, Bungeni jijini Dodoma, leo. Taarifa kamili aliyoma Waziri Mpango tutaweka hapa baadaye.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani