Liver, Man U safiii, Arsenal mhh!
Kasi ya Arsenal imepunguzwa baada ya kutoka sare 2-2 na Southampton na kupoteza nafasi ya kuongoza kwa tofauti ya pointi nne kileleni, wakati Liverpool wakiisambaratisha Everton na Manchester United ikiinyuka Cardiff juzi Jumanne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Man United yaichakaza Liver
Manchester, England. Manchester United imeendeleza wimbi lake la ushindi baada ya jana kuifumua Liverpool kwa mabao 3-0, katika mchezo wa Ligi Kuu England.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQ-1pqvVJIqaCB2MLx6S*MgMd2HHmnHurOL5Lyza1AU1raULaA3qzMBdMmc3iszhT2QzM9lpmO5Ycg5*-mI-U5t/alvaronegredogoalmancityarsenal_576x324.jpg?width=650)
FT: MAN CITY 6 - 3 ARSENAL
Wafungaji wa Manchester City Sergio Agüero 14' , Ãlvaro Negredo 39', Fernandinho 50', David Silva 66' , Fernandinho 88 Mfungaji wa Arsenal ni Theo Walcott 31', 63' na Mertesacker 90'
LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK HAPA >> GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
BBCSwahili04 Jan
Arsenal,Mancity na Man U kuwania FA
Mshambuliaji wa Uingereza Theo Walcot anatarajiwa kuanza katika mechi ya leo ya raundi ya tatu ya kombe la FA dhidi ya Hull City.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Man City yaichakaza Arsenal
England. Manchester City imepunguza kasi ya Arsenal katika kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya soka England baada ya kuichapa mabao 6-3.
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
Arsenal wabwagwa na Man City 6-3
Manchester City, wametoa ujumbe mkali kwa mahasimu wao kwenye ligi ya Premier Arsenal baada ya kuwacharaza mabao sita kwa matatu.
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Man U yatolewa kombe la FA na Arsenal
Timu ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la FA baada ya kuwalaza mahasimu wao Manchester United kwa jumla ya mabao 2 - 1.
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Arsenal, Man City kikaangoni
England inaweza kukosa mwakilishi kwa mara ya pili ndani ya miaka mitatu katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kama Arsenal na Manchester City watashindwa kulipa kisasi katika michezo yao ya leo na kesho.
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
Arsenal yaitwanga Man city
Timu ya soka ya Arsenal imeendelea kujiimarisha katika ligi kuu ya England kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Manchestaer United .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania