Lowassa: Sifadhili ACT-Tanzania
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema hatua ya kuhusishwa kwake na Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) ni upuuzi na mwendelezo wa mikakati ya kumchafua.
Kauli ya Lowassa imekuja siku moja baada ya kuhusishwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), kwamba kwa pamoja wamekuwa wakipanga mikakati ya siri ya kuhujumu chama hicho.
Taarifa iliyotolewa kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Oct
Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania

Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Lowassa aibukia ACT
IMEGUNDULIKA kwamba Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM) ndiye mfadhili mkuu na mpanga mikakati mkuu wa kundi linalomfuata Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ambalo limeanzisha chama kipya cha...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mgombea ubunge wa ACT Arusha Mjini amwombea kura Lowassa
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
11 years ago
Michuzi14 Jun
9 years ago
Africanjam.Com
TANZANIA ELECTION: LOWASSA CALLS FOR CANCELLATION OF TANZANIA'S POLL RESULTS

11 years ago
Uhuru Newspaper13 Aug
ACT-Tanzania kuiburuza CHADEMA mahakamani
NA SOLOMON MWANSELE,MBEYA.
CHAMA Cha ACT-Tanzania mkoa wa Mbeya, kimesema kitaiburuza mahakamani CHADEMA kwa tuhuma za wizi wa kadi 50 na bendera za chama hicho, vilivyoibwa kwenye ofisi yake iliyoko Uyole jijini Mbeya.
Imeelezwa kuwa tayari ACT-Tanzania imeshakamilisha taratibu za kufungua kesi hiyo na mwanasheria wa chama hicho kutoka makao makuu jijini Dar es Salaam, anatarajiwa kuwasili leo (jana).
Mratibu wa ACT-Tanzania mkoa wa Mbeya, Bahati Rongopa, aliyasema hayo jana wakati akielezea...
10 years ago
Vijimambo