Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LVG; Naweza kuondoka mwenyewe Man United

Kocha wa Manchester United Louis van Gaal amesema kuwa anaweza "kujiuzulu mwenyewe" baada ya Stoke City kuwapiga magoli 2-0

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka …

Headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kukaribia kujiunga na klabu ya Manchester United bado zinazidi kushika kasi sehemu mbalimblia, kwa wapenzi na mashabiki wa soka duniani kote kwa sasa vijiwe vyao mara nyingi mada kuu ni Louis van Gaal na Jose Mourinho. December 25 Mtu wangu wa nguvu nimekutana na list kutoka sokka.com ya wachezaji watano wa […]

The post Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka … appeared first on...

 

10 years ago

Mtanzania

Falcao kuondoka Manchester United

FalcaoMANCHESTER, ENGLAND
MSHAMBULIAJI wa timu ya Manchester United raia wa Colombia, Radamel Falcao, amesema mwisho wa msimu ataondoka katika klabu hiyo na kutafuta sehemu ambayo ataweza kupata nafasi ya kucheza.
Mchezaji huyo ambaye alijiunga na klabu hiyo kwa mkopo akitokea klabu ya Monaco, bado hajaonesha uwezo wake chini ya kocha, Louis van Gaal, ambapo mpaka sasa amefanikiwa kufunga mabao manne msimu huu katika ligi.
Falcao amekuwa akitokea benchi tangu Februari katika mchezo dhidi ya...

 

10 years ago

Africanjam.Com

MSIMAMO WA DI MARIA, KUBAKI AU KUONDOKA MANCHESTER UNITED..

Baada ya tetesi za muda mrefu zikimhusisha na kuihama klabu ya Manchester Unitedbaada ya msimu mmoja ambao umeonekana si wa mafanikio sana, kiungo raia wa Argentina Angel Di Maria amethibitisha kuwa ataendelea kuwa sehemu ya kikosi chaManchester United msimu ujao.
Di Maria amekuwa kwenye wakati mgumu katika msimu wake wa kwanza baada ya kuonekana amecheza chini ya kiwango katika msimu ambao United imemaliza kwenye nafasi ya nne na kufanikiwa kufuzu michuano ya ligi ya mabingwa ambayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dzeko kuondoka Man City

Kocha Mkuu wa Manchester City Manuel Pellegrini amekubali kuwa mshambuliaji wake Edin Dzeko anaweza kuondoka kwenye klabu hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool,Man City zashinda Man United nje

Kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp,ameandikisha ushindi wake wa kwanza,huku Man United ikiambulia kichapo mikononi mwa Middlesbrough

 

9 years ago

TheCitizen

Man City slip allows Man United to claim summit

Manchester United exploited Manchester City’s 4-1 defeat at Tottenham Hotspur by beating Sunderland 3-0 on Saturday to replace their rivals at the top of the Premier League table.

 

10 years ago

BBCSwahili

FA: Man United kuivaa Cambridge United

Manchester United itashuka dimbani kuikabili timu ya Cambridge United katika mchezo wa marudio kombe la FA.

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA : Man United, Man City zachapwa

Timu za Uingereza za Man United na Man City zimeanza vibaya michuano ya kombe la klabu bigwa barani Ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani