Maadhimisho ya siku ya walinda Amani ya Umoja wa Mataifa yafanyika Dar
Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi akihotubia katika maadhimisho ya siku ya walinda Amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Mabalozi wakimsikiliza Waziri Mwinyi (hayupo pichani).
Dkt. Mwinyi akiweka Shada katika mnara wa Mashujaa kuashiria kuwakumbuka walindaamani waliopoteza maisha duniani kote.
Mabalozi mbalimbali wanao ziwakilisha Nchi zao hapa nchin nao walihudhuria maadhimisho hayo
Waziri waulinzi Dkt. Mwinyi akiagana na mabalozi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-UTGEExdkR6E/VWmVK7qJDrI/AAAAAAABwbM/Zo_8IUYr2do/s72-c/UN%2B1.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WA WAENZI WALINDA WA AMANI WALIOPOTEZA MAISHA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-UTGEExdkR6E/VWmVK7qJDrI/AAAAAAABwbM/Zo_8IUYr2do/s640/UN%2B1.jpg)
10 years ago
GPLMAADHIMISHO YA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU DUNIANI YAFANYIKA JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6D8aePq462U/VlN65cleiRI/AAAAAAAIIFw/7PhZ6nrLVTE/s72-c/PICHA%2BNAMBA%2B1.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-6D8aePq462U/VlN65cleiRI/AAAAAAAIIFw/7PhZ6nrLVTE/s640/PICHA%2BNAMBA%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nUnoMrcUOUg/VlN65Xzqs-I/AAAAAAAIIF0/a-vMkmN5R7I/s640/PICHA%2BNAMBA%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JiwA6oVpS88/VG9P48tPUzI/AAAAAAAGyrg/RBrYbXXh5gk/s72-c/30.jpg)
Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi ya TRA yafanyika leo Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-JiwA6oVpS88/VG9P48tPUzI/AAAAAAAGyrg/RBrYbXXh5gk/s1600/30.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KrZXt6Db0mg/VG9P32kZeSI/AAAAAAAGyrQ/A6ilDcyUH7g/s1600/28.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania kufanyika Oktoba viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa UNDP Bw. Alvaro Rodriguez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya sherehe za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa pamoja na kutolea ufafanuzi malengo 17 ya maendeleo endelevu (SDGs) yenye lengo la kufuta kabisa umaskini.(Picha zote ne Geofrey Adroph wa Pamoja Blog).
Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Hassan Simba Yahya akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani yafanyika jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dkt. Othmani Kiloloma akiwaeleza waandishi wa habari(hawapo pichani) majukumu wanayotekeleza katika kuhakikisha wanakabiliana na tatizo la Mgongo wazi na Vichwa vikubwa ikiwamo kutoa elimu bora kwa madaktari wanaosomea somo hilo, kwenda mikoani kutoa tiba kwa watoto wenye matatizo hayo,wakati wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na na Mgongo wazi duniani jana Jijini Dar es salaam....
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O3uRP5vH3Nw/VEvTPd-wOsI/AAAAAAAGtX8/DwJwOsJGljo/s72-c/unnamed%2B(84).jpg)
Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani yafanyika leo jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3uRP5vH3Nw/VEvTPd-wOsI/AAAAAAAGtX8/DwJwOsJGljo/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-14CSpDCHKPE/VEvTQL1ZBwI/AAAAAAAGtYU/cuSwBhMRYxg/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA MTINDIO WA UBONGO DUNIANI KITAIFA YAFANYIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
Na Dotto MwaibaleWAKUU wa Shule mbalimbali wametakiwa...
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Maadhimisho ya siku ya Takwimu Afrika yafanyika Jijini Dar, Serikali yasisitiza uwazi katika Takwimu
Waziri wa Fedha wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Omar Yussuf Mzee akifungua maadhimisho ya Siku ya Takwimu Afrika yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi chini ya kauli mbiu isemayo “Takwimu Huria kwa uwajibikaji na ushirikishwaji wa wadau wote”.
Na Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es salaam
SERIKALI kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa itaendelea kuwapatia wananchi takwimu sahihi zinazohusu sekta mbalimbali ili kuwajengea...