Maalim seif ahutubia mkutano wa kampeni katika uwanja wa Masumbani jimbo la Chumbuni,
![](http://4.bp.blogspot.com/-s2FhddcFfuc/Vg7vnExfbBI/AAAAAAAH8aI/-AqFxZaFvVI/s72-c/unnamed%2B%252869%2529.jpg)
Na Khamis Haji, OMKR Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema akichaguliwa atakuza uwezo wa Serikali kujiongezea mapato na ataongeza kima cha chini cha mshahara hadi kufikia 400,000. Akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni katika uwanja wa Masumbani jimbo la Chumbuni, Maalim Seif amesema Sera ya CUF imeonesha maeneo mengi ya kukuza uchumi na kuziba mianya inayochangia kupotea mapato ya Serikali, hivyo hakuna kitakachozuia Serikali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMgombea Ubunge Jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza AMJADI,Awahutubia Wananchi wa Jimbo Hilo katika Mkutano Wake wa Kampeni Viwanja vya Mabanda ya Ngombe Chumbuni Unguja.
![](http://1.bp.blogspot.com/-07PBWffdk5s/VhBSzhW49OI/AAAAAAACAFs/ogbBgm0DMNU/s1600/255777489000.jpg)
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA HADHARA ULIOFANYIKA KIBANDAMAITI, ZANZIBAR
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
9 years ago
MichuziMbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza Kutekeleza Ahadi Zake kwa Wananchi wa Jimbo la Chumbuni kwa Ujenzi wa Ukuta Kituo cha Afya Chumbuni
9 years ago
Vijimambo20 Sep
DK. SHEIN AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI ZA CCM JIMBO LA MICHEWENI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1172.jpg)
![6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/669.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AcFhp-3DcmI/VgD7CjOAzvI/AAAAAAAH6v8/p_LhJ62Ix_A/s72-c/k1.jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA N KAMPENI JIMBO LA CHAANI
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
NYALANDU AHUTUBIA WANANCHI: Ni katika kampeni Kata ya Ikhanoda jimbo la Singida Kaskazini, asema hakuna kulala mpaka kieleweke
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akihutubia wananchi wa kijiji cha Ikhanoda Jimbo la Singida Kaskazini wakati wa Mkutano wa Kampeni wa kujinadi na kumnadi Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli sanjari na Diwani wa Kata hiyo Hinga Mnyawi jana.
Nyalandu kihutubia mkutano kijiji cha ikhanoda.
Mmoja wa wabibi wa kijiji cha Ikhanoda akicheza mziki wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu.
Bibi: bibi akicheza mziki wakati wa...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza kutekeleza ahadi zake kwa wananchi wake kwa ujenzi wa ukuta kituo cha Afya Chumbuni