MAALIM SEIF AENDELEA N KAMPENI JIMBO LA CHAANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-AcFhp-3DcmI/VgD7CjOAzvI/AAAAAAAH6v8/p_LhJ62Ix_A/s72-c/k1.jpg)
Na: Hassan Hamad (OMKR) Chama Cha Wananchi CUF kimewahakikishia wakulima wa mwani bei nzuri ya zao hilo iwapo wananchi watakipa ridhaa ya kuingia madarakani katika uchaguzi mkuu ujao. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama hicho Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameeleza hayo wakati akiwahutubia wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Kandwi jimbo la Chaani. Amesema kwa muda mrefu wakulima wa mwani wamekuwa wakiishi maisha duni kutoka bei ndogo ya kilimo hicho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s2FhddcFfuc/Vg7vnExfbBI/AAAAAAAH8aI/-AqFxZaFvVI/s72-c/unnamed%2B%252869%2529.jpg)
Maalim seif ahutubia mkutano wa kampeni katika uwanja wa Masumbani jimbo la Chumbuni,
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IXmq_xQmLEM/VNuwS2o4-KI/AAAAAAABk0c/gnwBa22wf_w/s72-c/seif%2B1.jpg)
Maalim Seif aendelea na ziara yake Nchini Qatar
![](http://2.bp.blogspot.com/-IXmq_xQmLEM/VNuwS2o4-KI/AAAAAAABk0c/gnwBa22wf_w/s1600/seif%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-a6cIxWAlkH0/VNuvqdSVgrI/AAAAAAABkz8/4qCPCQ2TZhE/s1600/seif%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3Law98naFLc/VNuvqnQ8bMI/AAAAAAABk0A/ok9qwcFDr-E/s1600/seif%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UTURUKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ILzCl1fsgiA/VJKHJGgZgkI/AAAAAAAG4DQ/yMVIen9SmN4/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cUqOy4tySjg/VJKHJd6lifI/AAAAAAAG4DM/jdwEgGINH1Q/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WyKeEU9Uykg/VJKHKpNaqXI/AAAAAAAG4Dg/VC2EweCtDAQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bJHP41Z-Cfk/U8ucafcYP-I/AAAAAAAF3-g/Ytigh_D0HxY/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA NA ZIARA YAKE KISIWANI PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bJHP41Z-Cfk/U8ucafcYP-I/AAAAAAAF3-g/Ytigh_D0HxY/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HBDW2BoXQtg/U8ucacksJtI/AAAAAAAF3-s/d95f9kT9t1Q/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_2Vg8XS7lYU/U8ucaf_O-eI/AAAAAAAF3-k/BfqXC3X3cz4/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
VijimamboMaalim Seif aendelea na ziara ya kutembelea wagonjwa Mkoa wa Mjini Magharibi
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2J0Bkt1zZUM/U8FkKuysCOI/AAAAAAAF1mQ/1iYqurslIxY/s72-c/unnamed+(19).jpg)
maalim seif aendelea na ziara ya kuwatembelea na kuwafariji wagongwa, afutarisha masheikh Zanzibar
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, leo ameendelea na ziara yake ya kuwatembelea na kuwafariji wagonjwa na wafiwa katika Mkoa wa Kusini Unguja. Ziara hii ni mfululizo wa ziara zake za kuwatembelea wagonjwa katika maeneo mbali mbali Unguja na Pemba katika Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan, ambapo Alkhamis iliyopita alitembelea Mkoa wa Kaskazini Unguja. Akiwafariji wagonjwa hao, Mhe. Maalim Seif amewaombea wapone haraka ili waweze kuendelea na...
10 years ago
VijimamboKINANA AUNGURUMA JIMBO LA MAALIM SEIF
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiweka kifaa cha umeme kwenye transfoma wakati wa uzinduzi wa uwekaji nguzo za umeme katika Kijiji cha Chanjaani, Jimbo la Mtambwe, Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Zanzibar leo. Jimbo hilo ndilo alikozaliwa Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalimu Seif...