Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAANDALIZI YA ROTARY DAR MARATHON 2015 YAKAMILIKA

Naibu mkurugenzi mkuu wa Benki M Bi. Jacqueline Woiso akiongea na waandishi wa habari leo hii katika ukumbi wa Hyatt Regency juu ya maandalizi ya Rotary Dar Marathon 2015 ambayo huandaliwa na Rotary klabu za Dar es salaam kwa kushirikiana na Benki M. Mbio na matembezi ya Dar Rotary Marathon kwa mwaka huu zitafanyika katika viwanja vya Green, Oysterbay tarehe 14 October 2015. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa bodi ya Rotary Bi. Sharmila Bhatt, Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Bi....

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

ROTARY DAR MARATHON 2015

ROTARY Dar Marathon 2015 in partnership with Bank M will be held on 14th Oct (Public Holiday) -  Join us with your families and friends for Cycling /Run / Walk  at the Green, Kenyatta/Toure Drive.
 The Half Marathon run will start at 6.30am while the Cycling race, 9KM and 5KM walk will start at 7am sharp. Registration counters will be open from 4.30am and look out for other registration points closer to the time. Theme for this year is “Healing Lives. Transforming communities” and Proceeds...

 

9 years ago

Habarileo

Mwinyi kuzindua Dar Rotary Marathon

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi atakuwa mgeni rasmi katika mbio za Dar Rotary zitakazofanyika Oktoba 14, imeelezwa. Kwa mara nyingine Rotary Clubs ya Dar es Salaam na Bank M kwa pamoja zimeandaa mbio hizo za marathoni kwa ajili ya kuchangisha fedha.

 

9 years ago

IPPmedia

Stage set for Dar Rotary Marathon


Daily News | The National Newspaper
Stage set for Dar Rotary Marathon
IPPmedia
Organisers of this year's Dar es Salaam Rotary charity marathon have unveiled awards set aside to top winners of the event that gets underway in Dar es Salaam tomorrow. One of the organisers Nikki Aggarwal said more than 500 runners have confirmed to ...
The News in photo of 13th October 2015Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

9 years ago

Michuzi

ROTARY DAR MARATHON TOOK OFF DURING THE NYERERE DAY

The former president Hon. Ally Hassan Mwinyi giving the medal to the winner of the Marathon on mens side, Emmanuel Ginmiki during  Rotary Dar Marathon which took place in Dar es salaam on the Nyerere Day. Rotary Dar Marathon is taking place every year being organised by the Rotary Clubs in partnership with Bank M.Looking on is the Bank M's Deputy CEO Ms. Jacqueline Woiso and The Rotary District Governor Mr. Robert Waggwa Nsibirwa. The former president Hon. Ally Hassan Mwinyi flagging off the...

 

9 years ago

Dar rotary marathon raises 400m/


Dar rotary marathon raises 400m/-
Daily News
TWO marathons involving nearly 20,000 runners and over raised over 200,000 US dollars (about 400m/-) for the newly refurbished and well equipped state-of-the-art Rotary Entrepreneurship Centre at the University of Dar es Salaam, built by the Rotary ...

 

10 years ago

Daily News

10000 enter Rotary Dar Marathon 2014


10000 enter Rotary Dar Marathon 2014
Daily News
THE Rotary Dar Marathon 2014 will take place in Dar es Salaam next week with about 10,000 runners expected to take part. The marathon, hosted by the six clubs in Dar es Salaam in partnership with Bank M, will take place on Tuesday at the Green on ...

 

9 years ago

GPL

MAANDALIZI UJIO WA WIZKID YAKAMILIKA

Mwanamuzi nyota wa Nigeria, Wizkid. Imelda Mtema,  MAANDALIZI ya ujio wa mwanamuzi nyota wa Nigeria, Wizkid anayetarajia kutumbuiza jijini Dar es Salaam Oktoba 31, mwaka huu yamekamilika.Mwanamuziki huyo anayetamba na wimbo wake wa ‘Give My Money’ analetwa nchini na kampuni ya burudani ya King na kudhaminiwa na Kituo cha Runinga cha EATV. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa King Entertainment, Solomon...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malawi:Maandalizi ya uchaguzi yakamilika

Maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Malawi yamekamilika huku wagombea 12 wakikabana koo kuwania urais. Tathmini ya Baruan Muhuza

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maandalizi Tenisi Afrika Mashariki yakamilika

MAANDALIZI ya michuano ya Vijana ya Tenisi Afrika Mashariki (Junior East Africa Tennis Championship) yanayotarajiwa kutimua vumbi kwenye viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam Januari 11, mwaka huu yamekamilika....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani