Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabaki ya watu 40 yazikwa Somaliland

Shughuli ya kuzika mabaki ya zaidi ya watu arobaini imefanyika katika eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland. Mabaki hayo yalipatikana katika kaburi moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Somaliland Sun

Somaliland:Waddani Position paper on Somaliland elections


Somaliland Sun
Somaliland:Waddani Position paper on Somaliland elections
Somaliland Sun
With this Position Paper, the WADDANI party endeavours to make it clearto the Somaliland people and to the international partners that pro-election stakeholders have worked hard for the last two years, to achieve the goal of holding 26 June, 2015 elections ...
NGO plans to dispatch 160 monitors for BVR exerciseDaily News
Civil society calls for transparency, involvement in the BRV exerciseIPPmedia

all 5

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukame wawaathiri watu 250,000 Somaliland

Mashirika ya misaada yanasema watu robo ya milioni wanaathirika kutokana na ukame katika eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland.

 

10 years ago

Mtanzania

Mahakama ya Kadhi yazikwa

Samia Hassan Suluhu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan

Rachel Mrisho, Dodoma

SUALA la Mahakama ya Kadhi ambalo lilizua mjadala mkali kwenye Kamati za Bunge la Bunge Maalumu la Katiba na kuundiwa kamati ndogo iliyoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu Hasan, limezikwa rasmi.

Hali hiyo imejidhihirisha jana kutokana na kutozungumziwa katika uwasilishaji wa maoni ya walio wengi, wakati kamati hizo zikiwasilisha maoni yake juu ya sura ya tisa na 10.

Imedaiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti iliyokuwa ikigombewa Moshi yazikwa

Hatimaye mwili wa Rosemary Marandu uliohifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa siku 53 umezikwa huku maziko hayo yakigubikwa na utata na kuhudhuriwa na wanaume sita.

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti ya mwanamke iliyofukuliwa Shinyanga yazikwa kwa mara ya pili

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na wananchi wa Mtaa wa Masekelo, Manispaa ya Shinyanga wamelifukia kaburi la Benadetha Steven (35) aliyezikwa na kifaranga tumboni lililofukuliwa juzi na watu wasiojulikana kwa madai ya imani za kishirikina.

 

11 years ago

BBC

Somaliland profile

An overview

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanamuziki wakamatwa Somaliland

Wanamuziki wajikuta matatani baada ya kukamatwa wakitokea kwenye Tamasha nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Somaliland aogezewa muda

Kumekuwa na maandamano katika jamhuri iliojitangaza ya Somaliland baada ya mda wa kuongoza wa raia Ahmed Silanyo kuongezwa kwa miaka miwili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waandamana wakiwa wamejihami Somaliland

Waandamanaji hao wanapinga hatua ya rais Ahmed Silanyo ya kukabidhi bohari ya kuhifadhi mafuta ya Berbera, mikononi mwa kikundi cha wafanyibiashara

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani