Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Machinga wapinga Manispaa kumpa bustani mfanyabiashara

WAFANYABIASHARA wadogo zaidi ya 100 wanapinga uamuzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, kutoa kibali kwa mfanyabiashara wa vyakula na vinywaji, kuendesha biashara hiyo katika bustani ya manispaa ya Iringa. Mwaka 2006 halmashauri hiyo iliondoa zaidi ya wafanyabiashara 200, waliokuwa wakifanya biashara katika bustani hiyo na katika barabara inayotenganisha bustani hiyo na hospitali ya mkoa wa Iringa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex

WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa  katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao  katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...

 

9 years ago

Habarileo

TPC kuanzisha bustani ya wanyama

MENEJIMENTI ya kiwanda cha uzalishaji sukari cha TPC Ltd wilayani Moshi imeiomba serikali kuwapunguzia tozo ya wanyamapori ili waweze kuanzisha bustani ya wanyama ndani ya ardhi ya kiwanda hicho kama sehemu ya kukuza utalii.

 

10 years ago

GPL

MUONEKANO WA BUSTANI ZA BARABARANI DAR

Wafanya kazi wa Strabag wakimwagia sehemu ya bustani iliyoko barabarani. Sehemu ya bustani inavyoonekana.…

 

10 years ago

GPL

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk  Agatha Shinyala na Dk...

 

11 years ago

Habarileo

Zanlik yatoa huduma bure Bustani ya Haile Selasie

KAMPUNI ya Mawasiliano ya mtandao wa intaneti ya Zanlik imeanza kutoa huduma bure za kujisomea kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari katika eneo la bustani mbele ya Shule ya Sekondari ya Haile Selasie mjini hapa.

 

11 years ago

GPL

MSIBA WA MTUNZA BUSTANI MKUU WA IKULU MAREHEMU RASHIDI CHILANGWA

Marehemu Rashid Chilangwa, Mtunza Bustani Mkuu wa Ikulu enzi za uhai wake. Marehemu alifariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam . Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa wafiwa nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini Dar es salaam .…

 

11 years ago

Michuzi

msiba wa mtunza bustani mkuu wa Ikulu marehemu Rashidi Chilangwa

 Marehemu Rashid Chilangwa, Mtunza Bustani Mkuu wa Ikulu enzi za uhai wake. Marehemu alifariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa wafiwa nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini Dar es salaam Mama Salma Kikwete akijumuika na wafiwa katika kuomboleza msiba nyumbani kwa marehemu Rashidi Chilangwa huko Mabibo, jijini Dar es salaam   Viongozi wa ofisi ya Rais Ikulu wakijadiliana na wanafamilia ya...

 

10 years ago

Michuzi

WWF YAMWAGA VIFAA VYA BUSTANI KWA SHULE ZA MUFINDI

 Wanafunzi wa shule ya msingi Igomaa wilaya ya Mufindi wakipata maelekezo ya namna ya kuanzisha vitalu cha bustani ya miti kutoka mtaalam.
Ofisa Maendeleo ya jamii msaidizi Bi. Martha Sanga akigawa vifaa ya bustani kwa mwalimu wa shule ya sekondari sadani.
Ofisa Maendeleo ya jamii msaidizi Bi. Martha Sanga akiongea na wanafunzi
Na Friday Simbaya, Mufindi
Shirika la Hifadhi ya Mazingira Duniani (WWF) kupitia Programu ya Maji Ruaha (RWP), mkoani Iringa limekabidhi vifaa kwa ajili ya kuanzisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani