MSIBA WA MTUNZA BUSTANI MKUU WA IKULU MAREHEMU RASHIDI CHILANGWA

Marehemu Rashid Chilangwa, Mtunza Bustani Mkuu wa Ikulu enzi za uhai wake. Marehemu alifariki dunia siku ya sherehe za Mei Mosi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam . Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa pole kwa wafiwa nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini Dar es salaam .…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
msiba wa mtunza bustani mkuu wa Ikulu marehemu Rashidi Chilangwa




10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM KOMREDI KINANA AHANI MSIBA WA MAREHEMU MHE.SAMUEL LUANGISA MJINI BUKOBA LEO


5 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU CCM AONGOZA VIONGOZI KUHANI MSIBA WA BABA WA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI,MAREHEMU BONIFACE SIMBACHAWENE


10 years ago
Michuzi01 Mar
11 years ago
GPL
PSPF WAOMBOLEZA MSIBA WA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA MAREHEMU MGIMWA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF Bodi ya Wadhamini na Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) unatoa salamu za rambirambi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Wizara ya Fedha na Familia ya aliyekuwa Waziri wa Fedha Marehemu Dkt. William A. Mgimwa Mfuko utamkumbuka kwa ushauri wake na ushirikiano aliouonyesha akiwa Waziri wa Fedha katika...
10 years ago
Michuzi14 Oct
RATIBA YA MSIBA WA MAREHEMU MHE. DKT ABDALLAH OMARY KIGODA
RATIBA YA MSIBA WA MAREHEMU MHE. DKT ABDALLAH OMARY KIGODA (MB) WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA TAREHE 13 - 15 OKTOBA, 2015.
JUMATANO TAREHE 14 OKTOBA, 2015NYUMBANI KWA MAREHEMU – UPANGA
Muda Tukio Mhusika Saa 1.00 – 2.00Asubuhi Chai WoteMshereheshaji Saa 6.00 – 7.00 Mchana Chakula cha Mchana Wanafamilia na Waombolezaji Saa 8.30 – 9.00 Mchana Viongozi na Waombolezaji kuwasili JNIA Termibal I
Viongozi/Waombolezaji Saa 9.00– 9.30Asubuhi Mwili ...
JUMATANO TAREHE 14 OKTOBA, 2015NYUMBANI KWA MAREHEMU – UPANGA
Muda Tukio Mhusika Saa 1.00 – 2.00Asubuhi Chai WoteMshereheshaji Saa 6.00 – 7.00 Mchana Chakula cha Mchana Wanafamilia na Waombolezaji Saa 8.30 – 9.00 Mchana Viongozi na Waombolezaji kuwasili JNIA Termibal I
Viongozi/Waombolezaji Saa 9.00– 9.30Asubuhi Mwili ...
10 years ago
Vijimambo29 Oct
MSIBA DMV NA TANZANIA: MISA YA MAREHEMU MAMA GREN JUDICA MOSHI
Familia ya Herman Moshi inapenda kuwataarifu ndugu, jamaa na marafiki waishio DMV na vitongoji vyake kwamba misa ya kumuombea mpendwa mama yao Bibi Gren Judica Moshi itafanyika siku ya Jumapili November 1st 2015 kuanzia saa tisa na nusu mpaka saa kumi na moja (3:30 – 5:00pm) katika kanisa la Faith Moravian Church lililopo 405 Riggs Rd NE, Washington DC 20011.
Mama yetu mpendwa Gren alifariki dunia ghafla Tanzania, siku ya Jumamosi October...
10 years ago
Michuzi
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma yaomboleza msiba wa marehemu Celina Kombani

Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepata msiba wa kuondokewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mhe. Celina O. Kombani (Mb) aliyefariki tarehe 24 Septemba, 2015 katika Hospitali ya Apollo nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu.

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania