Maelfu waandamana kupinga utawala wa Zuma
Maelfu ya watu wameandamana katika miji mikuu ya Afrika Kusini wakitaka kutimuliwa kwa Rais Jacob Zuma.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
Maelfu waandamana kupinga vita Gaza
Maandamano makubwa yafanywa Afrika Kusini, Uingereza na Australia kupinga yanayotokea Gaza
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Maelfu waandamana kupinga mabadiliko Korea Kusini
Maelfu ya watu wameandamana leo nchini Korea Kusini kupinga mipango ya serikali ambayo wanasema itadhoofisha demokrasia.
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Maelfu waandamana Malaysia
Maelfu ya waandamaji wanaopinga serikali wamekusanyika katika nji mkuu wa Malaysia, wakitaka waziri mkuu Najib Razak ajiuzulu
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Maelfu waandamana Washington na New York
Maandamano makubwa yatarajiwa Marekani kupinga mauaji ya watu weusi yanayofanywa na polisi
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Maelfu waandamana Madrid kuiga Ugiriki
Wafuasi wa chama cha mrengo wa kushoto cha Uspania wapata nguvu baada ya Syriza kushinda Ugiriki
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Wachimbaji waandamana kupinga unyanyasaji
Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (WanaApolo) 500 wa Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro, wameandamana kudai kupinga kitendo cha wawekezaji wa Kampuni ya TanzaniteOne kuteka migodi yao.
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Waandamana kupinga kupunguzwa kazini
Wafanyakazi wa kampuni ya TanzaniteOne wameandamana kupinga uongozi wa kampuni hiyo kutaka kuwapunguza wafanyakazi 635 bila taratibu za kisheria, kwa madai kuwa wanajiendesha kwa hasara na wao kupoteza haki zao.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Raia wa Jordan waandamana kupinga IS
Maelfu ya raia wa Jordan wameandamana mjini ,Amman,wakiunga mkono serikali yao katika vita dhidi ya kundi la Islamic State
10 years ago
Habarileo18 Jan
Waandamana kupinga kuhamishwa eneo la CN
WAFANYABIASHARA wa daladala zinazofanya safari zake kati ya Bunda na Musoma, waendesha bodaboda na wajasiriamali wakiwemo mama lishe, juzi waliandamana na kwenda kwa Mkuu wa wilaya ya Bunda, wakipinga kitendo cha kuhamishwa eneo la CN, lililoko mjini Bunda wanakofanyia biashara yao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania