Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maelfu waandamana kupinga vita Gaza

Maandamano makubwa yafanywa Afrika Kusini, Uingereza na Australia kupinga yanayotokea Gaza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Maelfu waandamana kupinga utawala wa Zuma

Maelfu ya watu wameandamana katika miji mikuu ya Afrika Kusini wakitaka kutimuliwa kwa Rais Jacob Zuma.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maelfu waandamana kupinga mabadiliko Korea Kusini

Maelfu ya watu wameandamana leo nchini Korea Kusini kupinga mipango ya serikali ambayo wanasema itadhoofisha demokrasia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maelfu waandamana Malaysia

Maelfu ya waandamaji wanaopinga serikali wamekusanyika katika nji mkuu wa Malaysia, wakitaka waziri mkuu Najib Razak ajiuzulu

 

10 years ago

BBCSwahili

Maelfu waandamana Washington na New York

Maandamano makubwa yatarajiwa Marekani kupinga mauaji ya watu weusi yanayofanywa na polisi

 

10 years ago

BBCSwahili

Maelfu waandamana Madrid kuiga Ugiriki

Wafuasi wa chama cha mrengo wa kushoto cha Uspania wapata nguvu baada ya Syriza kushinda Ugiriki

 

9 years ago

Mwananchi

Wachimbaji waandamana kupinga unyanyasaji

Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (WanaApolo) 500 wa Mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro, wameandamana kudai kupinga kitendo cha wawekezaji wa Kampuni ya TanzaniteOne kuteka migodi yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga sera,Ubelgiji

Polisi mjini Belgian nchini Ubelgiji wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na maji ili kuwatawanya waandamanaji wanaopinga sera

 

10 years ago

Habarileo

Waandamana kupinga kuhamishwa eneo la CN

WAFANYABIASHARA wa daladala zinazofanya safari zake kati ya Bunda na Musoma, waendesha bodaboda na wajasiriamali wakiwemo mama lishe, juzi waliandamana na kwenda kwa Mkuu wa wilaya ya Bunda, wakipinga kitendo cha kuhamishwa eneo la CN, lililoko mjini Bunda wanakofanyia biashara yao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga mauaji Bangladesh

Mamia ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka, kupinga mashambulio yaliyofanywa jana dhidi ya mchapishaji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani