Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magalasa 12 yaliyosajiliwa kuondoka Chelsea

Tangu atue Chelsea kwa zaidi ya miaka kumi, Roman Abramivich amemwaga kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya usajili wa wachezaji 72  akitumia Pauni 713 milioni, nyota hao, baadhi yao wameisaidia klabu hiyo na kuipa mafanikio England na Ulaya na wengine walikuwa hasara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Drogba kuondoka Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba anaihama klabu hiyo kwa mara ya pili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Fillipe Luis kuondoka Chelsea

Mlizi wa kushoto wa Chelsea Filipe Luis anakaribia kuihama klabu hiyo baada ya kuichezea kwa mwaka mmoja, hii ni kwa mujibu wa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Daktari wa chelsea Eva kuondoka klabuni

Daktari wa klabu ya Chelsea ya nchini England Eva Carneiro ameamua kuondoka katika klabu hiyo wiki sita baada ya kukwaruzana na meneja wa timu Jose Mourinho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Petr Cech ruksa kuondoka Chelsea

Golikipa Petr Cech anaweza kumaliza miaka yake 11 ndani ya klabu ya Chelsea

 

9 years ago

MillardAyo

Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …

Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea  Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo,  Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]

The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]

The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ferdinand kuondoka Old Trafford

Mlinzi wa Manchester United Rio Ferdinand amesema ataondoka Old trafford msimu ujao.

 

11 years ago

Mwananchi

Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto

Serikali wilayani, Kiteto, imewataka wananchi waliovamia ardhi ya wilaya hiyo, kuondoka mara moja ili kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani