Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: This is why some hate CCM

Chama cha Mapinduzi (CCM) presidential candidate says there are some corrupt officials who have made people to hate the incumbent government and promised to deal with them only if elected to the top country’s post.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'


Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM OFISI NDOGO YA CCM MTAA WA LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo Februari 28, 2020  Viongozi waandamizi watano kutoka vyama vya upinzani wakitambulishwa na kupokelewa rasmi kuwa wana CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

URAIS CCM: Magufuli alivyopiga chenga panga la CCM

Dar es Salaam. Kama alivyowashangaza wengi pale alipojitokeza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais Mei 29 mwaka huu, ndivyo Dk John Magufuli alivyowashangaza tena jana kufikia hatua hii ya tano bora.

 

9 years ago

Vijimambo

TSUNAMI YA CCM LEO MKOANI TANGA,WANANCHI WANAIMANI KUBWA NA CCM NA WANAAMINI MAGUFULI NI CHAGUO SAHIHI

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi katika picha tofauti akizungumza na wananchi wa Tanga Mjini hii leo kwenye Viwanja vya Tangamano wakati wa Mkutano wa kuomba kura za Urais,Ubunge na Udiwani kwaajili ya kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo mapema October 25.2015.Magufuli amewaahidi Wananchi wa Tanga kuwa atarejesha Viwanda na atahakikisha Tanga Unakuwa Mkoa wa Viwanda kama zamani.Mbali zaidi amesema amenuia kuhakikisha Taifa linabadilika kwenye Utendaji wakazi,Utoaji wa...

 

11 years ago

TheCitizen

I hate her Valentine’s obsession

I have become so good at it that I’m starting to believe my own fib. The truth, and absolute truth, my heart crossed, is that I have grown to hate Valentine’s Day more than any other day in the year, more than I hate my neighbour who is a really horrible person

 

10 years ago

TheCitizen

This is why I hate baseless arguements

There’re times when you are the only sensible fellow AT the table

 

11 years ago

IPPmedia

Journalists cautioned against hate messages


Journalists cautioned against hate messages
IPPmedia
Journalists in the country have been cautioned against the spread of hate messages that place the country's development at risk. Speaking late last week in Dodoma, Depont Ntererwa the Media Manager from Search for Common Ground that is based in the ...

 

10 years ago

IPPmedia

Media houses warned against hate speech


IPPmedia
Media houses warned against hate speech
IPPmedia
There is immediate need for a media manifesto to ensure no hate speeches are propagated and to also push for freedom to do in depth coverage of this year's elections. The call is part of the resolutions reached mid this week in Dar es Salaam at the end of a ...

 

11 years ago

TheCitizen

Why does Europe hate GM food and will it change its mind?

While the United States, Canada, Brazil, Argentina and China and many other countries have warmly embraced genetically modified crops, Europe remains the world’s big holdout.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani