Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maini … haini … maini … haini

Ooooh naomboleza jamani oooooh. Si lazima ungoje kifo ndiyo uomboleze. Ukiona kifo chakaribia, machozi yanadondoka yenyewe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Haini

Rekodi za Kibibliografia HAINI ndilo jina la kitabu kinachohakikiwa hapa ambacho kimetungwa na Adam Shafi. Kitabu hiki kimechapwa na Sasa Sema Publications Chapa ya Longhorn Publishers na kukipa namba ISBN:...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Haini II

SEHEMU ya kwanza ya uhakiki wa kitabu cha Haini ambacho kimetungwa na Adam Shafi tuliangalia utangulizi, mazingira na muhtasari wake. Sasa endelea. Riwaya hii inatufumbua macho kwamba Haini si Haini....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Haini — 3

WIKI iliyopita katika uhakiki wa kitabu cha Haini ambacho kimetungwa na Adam Shafi, tuliangalia utangulizi, mazingira na muhtasari wake. Sasa endelea. Kesi ya uhaini ilipoanza kusikilizwa, wale waliokataa kudanganywa ili...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

bwawa la maini oyeeee!

 Ankal akifurahia ushindi wa 3-2 dhidi ya Man City leo huko Anfield.   Baadhi ya Bongo Kops wakiserebuka kwa ushindi leo  Nahodha Steven Gerald na wenzie wakifurahia ushindi Wadau wa Bongo Kops na mwenyekiti wao Musley (kati) wakiwa na furaha baada ya gemu

 

11 years ago

Michuzi

Bwawa la maini oyeeeee!

 Liverpool leo wameheza  kandanda safi ingine kwa miaka kibao kwa kuichabanga  Manchester United 3-0 katka uwanja wao wa nyumbani wa  Trafford on Sunday,  huku mkongwe asiyezeeka  Steven Gerrard akitikisa nyavu mara mbili kwa njia ya penati na kulihamasisha Bwawa la Maini kwa mara ingine tena. Kiungo huyo alipiga penati mbili za kufa mtu kuhakikisha vijana wa Brendan Rodgers wakiondoka na pointi tatu zote. Luis Suarez aliongeza maumivi kwa Man U baada ya ‘chumba’ cha uhakika cha  Daniel...

 

11 years ago

Michuzi

HAFLA YA KUZAWADIA WACHEZAJI WA BWAWA LA MAINI

 Kikosi cha Bwawa la Maini kwenye mnuso wa kuzawadia wachezaji bora uliofanyika usiku huu katika hoteli ia Hilton Liverpool na kuhudhuriwa na wapenzi na wanachama kutoka kila pembe ya dunia ikiwemo Tanzania ambayo iliwakilishwa na viongozi wa The Kop In Tanzania  Sehemu ya wageni kwenye mnuso huo katika hoteli ya Hilton Liverpool  Katibu wa The Kop in Tanzania Issa Batenga akiwa na kocha wa Bwawa la Maini Brendan Rodgers kwenye mnuso huo usiku huu hoteli ya Hilton Liverpool Katibu wa...

 

9 years ago

GPL

KOFFI OLOMIDE, NG’OMBE ASIYEZEEKA MAINI

Mwanamuziki, Koffi Olomide. Andrew Carlos MWAKA 1950, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) alitokea msanii wa muziki wa Soukous (Lingala/Rumba ya Kongo), Verkys Kiamuangana Mateta ambaye aliitetemesha Kongo akiwa na Bendi ta TPOK Jazz. Verkys hakudumu sana kwenye Bendi ya TPOK Jazz kwani alitamani kuwa na bendi yake mwenyewe ambapo mwaka 1960 alifanikiwa kumiliki bendi ya Orchestre Vévé na haikuishia hapo, miaka kumi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani