Majambazi yaua, yapora ndani ya daladala Dar
Mtu mmoja amefariki dunia na mwingine kujeruhiwa wakati watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliposimamisha daladala eneo la Jangwani na kuingia ndani kupora mkoba unaosadikiwa kuwa na fedha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Dec
Majambazi yaua, yapora Dar, Tunduru
Dar/Songea. Tafrani ilizuka Dar es Salaam na mjini Tunduru, mkoani Ruvuma, baada ya majambazi kuua mtu mmoja na kupora zaidi ya Sh10 milioni katika matukio mawili tofauti.
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Majambazi yaua walinzi, yapora benki mbili Dar
Watu sita wanaodaiwa kuwa ni majambazi wamewaua kwa risasi walinzi wawili wa benki mbili tofauti na kupora mamilioni ya fedha katika benki hizo, Chanika nje kidogo ya jiji.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Majambazi yaua, yapora fedha
NI kama sinema vile iliyochezwa na majambazi mawili katika mji wa Geita. Majambazi hayo, juzi yaliuteka mji wa Geita kwa takribani dakika 15 kwa mtutu wa bunduki na kupora fedha...
11 years ago
TheCitizen01 Mar
Majambazi yaua, yapora Singida
Watu wawili wamefariki dunia mkoani Singida katika matukio tofauti, likiwemo la mzee mwenye umri wa miaka 65 kuuawa na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi ambao pia walipora Sh1,340,000.
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua askari wawili, yapora SMG tano
WATU 15 wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za kivita na mabomu ya kurushwa kwa mkono wamevamia kituo cha polisi Ikwiriri wilayani Rufiji Mkoani Pwani na kuua askari polisi wawili na kupora silaha tano za SMG na mbili za kufyatulia mabomu ya machozi zilizokuwepo kituo hapo na kutokomea kusikojulikana.
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Majambazi yapora Sh70 milioni Dar
Watu wanne wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia gari ndogo aina ya Toyota Saloon na kupora fedha zinazokadiriwa kufikia Sh70 milioni.
11 years ago
GPLDALADALA YAUA DAR
 Gari aina ya Toyota Coaster  inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari  jijini Dar. Maiti bado zipo eneo la tukio, habari zaidi zitakujia hivi punde.!
11 years ago
Mwananchi11 May
Ajali ya daladala yaua wawili Dar
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 13 wamejeruhiwa, baadhi yao vibaya baada ya daladala walilopanda kutoka Tegeta kwenda katikati ya jiji kuacha njia, kugonga mti na kisha kupinduka wakati likijaribu kulikwepa lori eneo la Mbuyuni jana asubuhi.
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Majambazi yapora wafanyabiashara
Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto wamewavamia wafanyabiashara kwenye Kijiji cha Vikonge wilayani Mpanda na kuwapora fedha na mali zao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania