Makampuni ya simu Tanzania kuanza kuuza hisa kwa wananchi mwakani
Tanzania inatarajia kuanza kuona makampuni ya simu yakiweka hisa zake kwenye soko la hisa kupitia sheria ya lazima inayolenga kuwasaidia wananchi wake kumiliki sehemu ya moja viwanda vinavyokua kwa kasi zaidi barani Afrika. Naibu waziri wa mawasiliano, sayansi na teknolojia, January Makamba yupo kwenye hatua za mwisho ya kuhakikisha makampuni ya simu yanaweka hisa zake […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBenki ya CRDB kuanza kuuza Hisa Stahili leo
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB KUANZA KUUZA HISA STAHILI JUNI 26
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziCosota, CMEA kuanza kulipa mirahaba kwa wanamuziki kuanza Januari mwakani
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WLG6bHcteT8/U2zHS_i7-fI/AAAAAAAA-e8/mMQKq_Bc1T8/s72-c/c6.jpg)
BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vsICmzAsgek/VZerp2fybmI/AAAAAAAHmxQ/XCfHAQjeRJ4/s72-c/IMG_3826.jpg)
DCB BENKI WATOA HISA KWA MAKAMPUNI MBALIMBALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-vsICmzAsgek/VZerp2fybmI/AAAAAAAHmxQ/XCfHAQjeRJ4/s640/IMG_3826.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tf6KfxJ5djs/VZeszUT5tFI/AAAAAAAHmxg/jSnUa_YwiEA/s640/IMG_3793.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YnnJ5KDsybM/VZesKq5PJqI/AAAAAAAHmxY/WNfJH15RJyk/s640/IMG_3832.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Millicom kuanza utekelezaji wa mkakati wake wa uwekezaji kwa kampuni ya simu ya Zantel Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akijibu maswali ya waandishi (hawapo pichani) katika mkutano huo. Kushoto kwake ni Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi ya Zantel na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.
Mwenyekiti wa Bodi, Rachel Samren akizungumza na waandishi wa habari. Katikakati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.
Bi Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]
The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Bongo524 Feb
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Wabuni mbinu za kuuza chakula kwa simu