Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makampuni ya simu Tanzania kuanza kuuza hisa kwa wananchi mwakani

Tanzania inatarajia kuanza kuona makampuni ya simu yakiweka hisa zake kwenye soko la hisa kupitia sheria ya lazima inayolenga kuwasaidia wananchi wake kumiliki sehemu ya moja viwanda vinavyokua kwa kasi zaidi barani Afrika. Naibu waziri wa mawasiliano, sayansi na teknolojia, January Makamba yupo kwenye hatua za mwisho ya kuhakikisha makampuni ya simu yanaweka hisa zake […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Benki ya CRDB kuanza kuuza Hisa Stahili leo

 Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akifungua mkutano wa wanahisa wa benki hiyo katika Hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam. Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambwa akizungumza wakati wa mkutano wa wanahisa uliofanyika katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam.Mwenyekiti wa Bodi yaWakurugenzi ya Benki ya CRDB, Martin Mmari akizungumza katika mkutano huo. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza na baadhi ya...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB KUANZA KUUZA HISA STAHILI JUNI 26

 Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akifungua mkutano wa wanahisa wa benki hiyo katika Hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam. Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambwa akizungumza wakati wa mkutano wa wanahisa uliofanyika katika hoteli ya Sea Cliff jijini Dar es Salaam. Baadhi ya maofisa wa benki hiyo pamoja na wanahisa wakimsikiliza Dk. Dk. Charles Kimei.Meza Kuu.

 KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

9 years ago

Michuzi

Cosota, CMEA kuanza kulipa mirahaba kwa wanamuziki kuanza Januari mwakani

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Hakimiliki Tanzania (Cosota) Doreen Sinare akielezea umuhimu wa wanamuziki kujisajili kwao kupitia Kampuni iliyopewa jukumu la kuendesha zoezi usajili, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) ilikuweza kupata haki zao kutokana  na kazi zao.  Mkuu wa Uendeshaji wa kampuni ya CMEA, Abdi Zagar akielezea jinsi ya mfumo wa kisasa wa ukusanyaji taarifa za wanamuziki kwenye vituo vya televisheni na redio kwa ajili ya kutumiwa na Cosota ili kufanya...

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI

Benki ya CRDB inatarajia kuuza Hisa zake katika Soko la Hisa la Nairobi, fursa ambayo itatoa wigo mpana zaidi wa biashara ya hisa za Benki hiyo katika soko la Afrika Mashariki.
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...

 

10 years ago

Michuzi

DCB BENKI WATOA HISA KWA MAKAMPUNI MBALIMBALI

  Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa DCB Balozi Paul Rupia akitoa nasaha zake kwa wanahisa wa DCB benki waliohudhulia katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam jana.Mkurugenzi Mtendaji wa  DCB benki, Edmund Mkwawa akizungumza na wadau wa hisa katika mkutano uliokutanisha wadau wa hisa ikiwa kwa kipindi chote cha miaka 13 benki hiyo imepiga hatua na kuwa na matawi 8 Dar es salaam na mawakala 113 katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaa jana.   Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Millicom kuanza utekelezaji wa mkakati wake wa uwekezaji kwa kampuni ya simu ya Zantel Tanzania

7.1

Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akijibu maswali ya waandishi  (hawapo pichani) katika mkutano huo. Kushoto kwake ni Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi ya Zantel na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.

8

Mwenyekiti wa Bodi, Rachel Samren akizungumza na waandishi wa habari. Katikakati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.

1

Bi Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]

The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Bongo5

Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu

Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kubadilika kwa vifurushi vya mawasiliano. Malalamiko hayo yalikuja baada ya baadhi ya mitandao ya simu kupunguza ukubwa wa data anazopata mtumiaji wa simu anapojiunga na vifurushi vya muda wa maongezi, sms na data kwa pamoja. Baadhi […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wabuni mbinu za kuuza chakula kwa simu

Una njaa na umechoka kiasi cha kushindwa kumtembelea mamantilie wa mtaani kwako? Kupitia simu yako ya mkononi au kompyuta unaweza kuminya vitufe viwili, vitatu kuomba huduma, kisha ukaletewa chakula chako hadi mlangoni, shukrani kwa teknolojia ya habari na mawasiliano inayofanya maisha sasa yawe ya kidijitali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani