MAKAMU MWENYEKITI WA HUAWEI AELEZEA MAONO YAKE KUHUSU ULIMWENGU WA TEKNOLOJIA YA 5G.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_Im9G3LC6jY/VQFxIWawfaI/AAAAAAAAqwg/BRvNhjHTl4k/s72-c/Untitled.png)
Makamu Mwenyekiti wa Kampuni ya Huawei,Ken Hu akizungumza katika Mkutano wa Dunia wa masuala ya simu (MWC) uliofanyika jijini Barcelona nchini Hispania mwishoni mwa wiki iliyopita,uliokuwa ukijadili teknolojia ya simu za mkononi (5G).
Kizazi cha tano cha teknolojia ya simu za mkononi (5G) kinategemewa kuwa nguzo muhimu sana ya miundo mbinu katika ulimwengu ujao wa teknolojia. Hayo yamesemwa na Bwana Ken Hu, Makamu mwenyekiti wa Kampuni ya Huawei ambaye kwa kupokezana yeye ndiye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) akutana na Makamu Mwenyekiti wa Rais wa China
Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao (hayupo pichani) kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Philip Mangula akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao mara baada ya kumaliza mkutano.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao akionyesha zawadi aliyopewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_Cf8aFa1yEQ/U0mKQmx521I/AAAAAAAFaTs/4QOeSuEaLxI/s72-c/1+(1).jpg)
Makamu Mwenyekiti TASWA alamba nondozz yake ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Cf8aFa1yEQ/U0mKQmx521I/AAAAAAAFaTs/4QOeSuEaLxI/s1600/1+(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
JK ateua Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Makamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
UTEUZI – TUME YA HAKI ZA BINADAMU.doc by moblog
10 years ago
Michuzi07 Jan
11 years ago
Michuzi24 Jun
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM (BARA) PHILIP MANGULA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CHINA LI YUANCHAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HbPYtcDAiIU/U6lcr3PsKpI/AAAAAAAAPA8/BFmh5py3oqc/s1600/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6yxRi_BiEVQ/U6lczfAZOHI/AAAAAAAAPBE/MLrQVOk7rMQ/s1600/6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LXJ_wa26ZjM/U6lcmT5yIjI/AAAAAAAAPA0/I7Yxpidf5Vw/s1600/2.jpg)
10 years ago
GPLHUAWEI NA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA
Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu (kushoto) pamoja na Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar. Bw. Mahamoud Thabit Kombo.
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Huawei Tanzania...
10 years ago
MichuziHUAWEI TANZANIA NA WIZARA YA MAWASILIANO,SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog17 Jun
Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia waungana katika kongamano la Teknohama litakalofanyika Juni 18-19
Mkurugenzi wa ICT katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Dk Ally Simba (kushoto) akipeana mkono na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Huawei Tanzania, Bwana Samson Majwala katika ushirikiano wao huo. anayefuatia ni Afisa wa Huawei.
Kampuni ya Huawei Tanzainia ikishirikiana na Wizara na Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia inatarajiwa kufanya kongamano la kwanza la Huawei Cloud Conference katika ukumbi wa Julius Nyerere Convential Centre (JNICC) kwa siku mbili yaani Juni 18 na 19...