Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKAMU MWENYEKITI WA HUAWEI AELEZEA MAONO YAKE KUHUSU ULIMWENGU WA TEKNOLOJIA YA 5G.

 Makamu Mwenyekiti wa Kampuni ya Huawei,Ken Hu akizungumza katika Mkutano wa Dunia wa masuala ya simu (MWC) uliofanyika jijini Barcelona nchini Hispania mwishoni mwa wiki iliyopita,uliokuwa ukijadili teknolojia ya simu za mkononi (5G).Kizazi cha tano cha teknolojia ya simu za mkononi (5G) kinategemewa kuwa nguzo muhimu sana ya miundo mbinu katika ulimwengu ujao wa teknolojia. Hayo yamesemwa na Bwana Ken Hu, Makamu mwenyekiti wa Kampuni ya Huawei ambaye kwa kupokezana yeye ndiye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) akutana na Makamu Mwenyekiti wa Rais wa China

2

Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao (hayupo pichani) kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.

4

Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Philip Mangula akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao mara baada ya kumaliza mkutano.

6

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao akionyesha zawadi aliyopewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)...

 

11 years ago

Michuzi

Makamu Mwenyekiti TASWA alamba nondozz yake ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Egbert Mkoko (katikati) akipongezwa na walimu wake, Profesa Larry sterilz (kushoto) na Profesa Lynnete sterilz, baada ya kutunukiwa shahada ya pili ya uandishi wa habari katika Chuo Kikuu cha Rhodes, Afrika Kusini juzi. (Picha kwa hisani ya TASWA).

 

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Michuzi

MAKAMU MWENYEKITI WA CCM (BARA) PHILIP MANGULA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CHINA LI YUANCHAO

 Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Philip Mangula akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao mara baada ya kumaliza mkutano .  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa  China Li Yuanchao akionyesha zawadi aliyopewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula mara baada ya kumaliza mkutano baina ya viongozi wawili.
 Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu...

 

10 years ago

GPL

HUAWEI NA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI

Mkurugenzi wa ICT katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Dk Ally Simba akiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam jana kuhusu kuungana na kampuni ya Huawei katika kongamano la Teknohama, kulia ni Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Huawei Tanzania, Samson Majwala. Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Huawei Tanzania, Samson Majwala akiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam jana kuhusu kuungana na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA

 

DSC_5719

Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu  (kushoto) pamoja na  Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan  wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na  Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar.  Bw. Mahamoud Thabit Kombo.

Na  Mwandishi Wetu

Kampuni ya Huawei Tanzania...

 

10 years ago

Michuzi

HUAWEI TANZANIA NA WIZARA YA MAWASILIANO,SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI

Mkurugenzi wa ICT katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Dk Ally Simba Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam jana kuhusu kuungana na kampuni ya Huawei katika kongamano la Teknohama, kulia ni Mkurugenzi wa masoko na mauzo wa Huawei Tanzania Samson Majwala.Mkurugenzi wa masoko na mauzo wa Huawei Tanzania Samson Majwala kiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam jana kuhusu kuungana na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia katika kongamano la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia waungana katika kongamano la Teknohama litakalofanyika Juni 18-19

8.jpg333

Mkurugenzi wa ICT katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Dk Ally Simba (kushoto) akipeana mkono na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Huawei Tanzania, Bwana Samson Majwala katika ushirikiano wao huo. anayefuatia ni Afisa wa Huawei. 

Kampuni ya Huawei Tanzainia ikishirikiana na Wizara na Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia inatarajiwa kufanya kongamano la kwanza la Huawei Cloud Conference katika ukumbi wa Julius Nyerere Convential Centre (JNICC)  kwa siku mbili yaani Juni 18 na 19...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani