MAKAMU WA RAIS AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA NCHI ZA G77+CHINA NCHINI BOLIVIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-WmGFT4ON_tA/U57zfhkt_MI/AAAAAAAFrCM/rOurfRNIqLc/s72-c/0001.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya nchi za G77 na China, uliofanyika jijini Santa Cruz, Bolivia jana Juni 15, 2014.
Sehemu ya washiriki na wawakilishi wa viongozi wa mataifa mbalimbali katika mkutano huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) akiwa na baadhi ya Viongozi kutoka mataifa mbalimbali wakati wa ufunguzi wa maadhimisho hayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahudhuria maadhimisho ya miaka 50 ya nchi za G77 na China Jijini Santa Cruz, Bolivia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokewa na wenyeji wake wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Bolivia Juni 13, 2014 kwa ajili ya kuhudhuria maadhimisho ya miaka 50 ya Nchi za G 77 na China, yanayofanyika leo Juni 15, 2014, jijini Santa Cruz, Bolivia. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Meya wa Jiji la Santa Cruz, Percy Fernandez, wakati alipowasili kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kKyH66lBvmk/VUEDacjmx3I/AAAAAAAHUIo/kJUqYuoCo0o/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kKyH66lBvmk/VUEDacjmx3I/AAAAAAAHUIo/kJUqYuoCo0o/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3l97HQjZAVs/VUEDbvM3OxI/AAAAAAAHUIg/cg5V_ODdmwo/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Makamu wa Rais aiwakilisha Tanzania katika kongamano la pili la kimataifa la biashara kwa nchi za Afrika Jijini Dubai
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika majadiliano kuhusu utengamano wa Afrika na Fursa za biashara na Uwekezaji Katibu na Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Richard Sezibera, wakati wakihojiwa na Mwandishi wa habari wa Kimataifa na Mkurugenzi wa Kampuni ya ‘Eddo Media’, Mark Eddo (kushoto). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Oktoba Mosi, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika...
10 years ago
Dewji Blog30 Apr
Makamu wa Rais Dkt. bilal aiwakilisha Tanzania katika mkutano wa dharura wa viongozi wa nchi na Serikali Wanachama wa SADC, Harare Zimbabwe
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Hoteli ya Rainbow, jijini Harare, Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa dharura wa Viongozi wa Nchi Wanachama wa SDC, uliofunguliwa jana Aprili 29, 2015 na Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, Jijini unaojadili kuhusu Uendelezaji wa Viwanda.( Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati), akiwa na baadhi ya Viongozi wenzake katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OvILUXW7eKQ/VHq_ofggGgI/AAAAAAACvlE/ve302F_TY_4/s72-c/12.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA 3 WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI (EAC) KUHUSU MIUNDOMBINU JIJINI NAIROBI, KENYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OvILUXW7eKQ/VHq_ofggGgI/AAAAAAACvlE/ve302F_TY_4/s1600/12.jpg)
10 years ago
Vijimambo29 Apr
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA DHARURA WA VIONGOZI WA NCHI NA SERIKALI WANACHAMA WA SADC KUHUSU UENDELEZAJI VIWANDA, HARARE ZIMBABWE.
![AD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD1.jpg)
![AD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD2.jpg)
![AD3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/AD3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sQR59qHDSAs/XqMJrbiuTEI/AAAAAAALoHc/1WUL5STzukk04qLwAIFwCbGqk7mdMSVVgCLcBGAsYHQ/s72-c/18812542_1928247267457677_4075748226727149568_n.jpg)
SALAMU ZA MAKAMU WA RAIS KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 56 YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sQR59qHDSAs/XqMJrbiuTEI/AAAAAAALoHc/1WUL5STzukk04qLwAIFwCbGqk7mdMSVVgCLcBGAsYHQ/s640/18812542_1928247267457677_4075748226727149568_n.jpg)
Katika kipindi hiki cha kuelekea maadhimisho ya miaka 56 ya Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar, mimi kama Msimamizi Mkuu wa masuala yote ya Muungano napenda nitumie fursa hii kuzungumza machache na Watanzania wenzangu.
Moja; Nawapongeza Watanzania wote kwa kazi kubwa mnayoendelea kuifanya ya kuhakikisha Muungano wetu unazidi kuimarika siku hadi siku. Vilevile niwapongeze kwa kuwa na imani thabiti juu ya Muungano wetu kwa kuhakikisha mnautunza na kuuenzi kwa hali na mali.
Kupitia...
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Dkt Bilal aiwakilisha Tanzania katika maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Malawi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiongozana na Mwenyeji wake Makamu wa Rais wa Malawi Saulos Klaus Chilima kukagua gwaride maalum la makaribisho kwa Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Tanzania baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Lilongwe kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Malawi zilizofanyika Jumapili tarehe Julai 06, 2014. (Picha na OMR)
11 years ago
Habarileo17 Jun
Makamu wa Rais azipa changamoto nchi za G77
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal ametaka nchi wanachama wa G77+China, kuhakikisha zinaboresha kilimo ili ziwe na hifadhi ya kutosha ya chakula kwa wananchi wake.