Makamu wa Rais Dkt. Bilal aweka jiwe la msingi ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani, jijini Arusha
Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhutubia wananchi wa Mji mdogo wa Mererani, wakati wa hafla ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani yenye Kilometa 26. Hafla hiyo imefanyika Julai 30, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi wa Mji mdogo wa Mererani, wakati...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Jc1lJMhk750/VboqD25RJdI/AAAAAAAAtfM/EpVvSjXGxWo/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA KIA-MERERANI, JIJINI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Jc1lJMhk750/VboqD25RJdI/AAAAAAAAtfM/EpVvSjXGxWo/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y7fnOnJmtMU/VboqGt0PzGI/AAAAAAAAtf0/2P16AM1tNFA/s640/2B.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3HcrB1Ial3g/ViNPIOVOEHI/AAAAAAAIArY/pMKTj3qWJcU/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MRADI WA VITUO VYA MAPUMZIKO NA VYOO VYA WASAFIRI KATIKA BARABARA KUU NCHINI, KATIKA KIJIJI CHA IDETERO, MUFINDI-IRINGA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-3HcrB1Ial3g/ViNPIOVOEHI/AAAAAAAIArY/pMKTj3qWJcU/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xoIsm6BGB-I/ViNPIzgpugI/AAAAAAAIArk/MP_8SZBCJsI/s640/3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jlC0dn2cjT4/ViN8cSqycSI/AAAAAAAECsg/tn9n2dMkD0I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MRADI WA VITUO VYA MAPUMZIKO NA VYOO VYA WASAFIRI KATIKA KIJIJI CHA IDETERO, MUFINDI-IRINGA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-jlC0dn2cjT4/ViN8cSqycSI/AAAAAAAECsg/tn9n2dMkD0I/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u6kr5RA8bD4/ViN8cZTzK_I/AAAAAAAECsk/Q4dRwxIgE28/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-SfNStyFkufg/VZZrJGvuEbI/AAAAAAADvWA/H93f4WvDfZk/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA JENGO JIPYA LA OFISI YA TTCL, PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-SfNStyFkufg/VZZrJGvuEbI/AAAAAAADvWA/H93f4WvDfZk/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oza3hZ14HiM/VZZrIuqE9ZI/AAAAAAADvV4/rA2QmDvl7Kw/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aweka jiwe la msingi katika jengo jipya la ofisi ya TTCL, Pemba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkurugenzi Shirika la Simu Tanzania TTCL, Dkt. Kamugisha Kazaura, wakati alipowasili Wilayani Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Julai 3, 2015 kwa ajili ya Kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Jengo jipya la Ofisi za shirika hilo. Katikati ni Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.-2048x1365.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KM 51.2 MJI WA SERIKALI PAMOJA NA KUFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA TARURA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s640/1.-2048x1365.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff kuhusu mradi wa ujenzi wa Barabara za lami zenye jumla ya km 51.2 katika mji wa Serikali (Mtumba) mkoani Dodoma leo tarehe 11 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-10-scaled.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gnyYxmskNlc/VPVIwhGrliI/AAAAAAAHHQQ/0wZ8bHjvt98/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MWANGA-KIKWENI-VUCHAMA/LOMWE KM 40.6 MKOANI KILIMANJARO
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MBANDE-KONGWA 16.5KM
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MBANDE-KONGWA 16.5KM