MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, ATUNUKU VYETI NA SHAHADA WAHITIMU ESAMI LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Baadhi ya Viongozi wa Taasisi ya ESAMI iliyopo Njiro Hill Mkoani Arusha alipowasili kwenye Taasisi hiyo leo Novemba 22,2014 kuhudhuria Mahafali ya nane ya Taasisi hiyo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal wa pili kulia na Viongozi wa Taasisi ya ESAMI iliyopo Njiro Hill Mkoani Arusha akiongoza maandamano ya mahafali ya nane ya Taasisi hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s72-c/6.jpg)
MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AMKARIBISHA MAKAMU WA RAIS WA CHINA NA UJUMBE WAKE IKULU DAR LEO, WASAINI MIKATABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6HC0MKtC8mQ/U6hMncpZAAI/AAAAAAAFscY/9WxOhZ474cE/s1600/7.jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal amkaribisha Makamu wa Rais wa China na Ujumbe wake Ikulu Dar leo, wasaini mikataba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo juni 23, 2014 akiongozana na Ujumbe wake kwa ajili ya mazungumzo. Li Yuanchao, yupo nchini kwa ziara ya siku sita. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA KUAPISHWA RAIS WA NIGERIA LEO
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA EGYPT NA C P U LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5Hx_jpcOzjA/VHXARkikPII/AAAAAAAGzkU/LbAJKNhf6LQ/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Hx_jpcOzjA/VHXARkikPII/AAAAAAAGzkU/LbAJKNhf6LQ/s1600/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UyYyassfkwk/VHXAbbdwEiI/AAAAAAAGzlM/oPwG4TSp4U8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oqOgKL6z2Vk/VHXAaWc3rBI/AAAAAAAGzlE/jpXoqTyuqN8/s1600/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ACOod8MrcD0/U5XhB9i0KAI/AAAAAAAFpRo/aMqxaqaxpkU/s72-c/1.jpg)
BALOZI MPYA WA MAREKANI AJITAMBULISHA KWA MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ACOod8MrcD0/U5XhB9i0KAI/AAAAAAAFpRo/aMqxaqaxpkU/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sWI8R1m8EFM/U5XhB57XKwI/AAAAAAAFpRg/6D6Fy-wFAuw/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ur6uqn6UEEs/U5XhCOO2-uI/AAAAAAAFpRk/GI4PE5LPi0s/s1600/3.jpg)
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AKUTANA NA BALOZI WA QATAR NA BURUNDI LEO
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT.BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA WAFUGAJI LEO.
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE. DKT. BILAL AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA HAPA NCHINI LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal katikati, akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. Dianna Melrose na ujumbe aliofuatana nao wakati Balozi huyo alipofika Ofisini...