MAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL, ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE BARAZA LA EID EL HAJJ MUSOMA LEO
Injinia Mkuu wa Ujenzi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Wilaya ya Musoma Suleiman Bishanga, akimuonesha Makamu wa Rais Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal ramani ya ujenzi wa msikiti huo hadi utakapokamilika wakati Makamu wa Rais alipotembelea kuangalia ujenzi huo leo Sept 24,2015.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Naibu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Himid Jongo kwenye Baraza la eid el Hajj iliyofanyika kitaifa leo Sept 24, 1015 katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS MHE. DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL AKUTANA NA MABALOZI WATEULE LEO
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-MZ-ACoK6psE/VdrvosJigNI/AAAAAAAB6KA/z8Ah54g0mUI/s72-c/6521.jpg)
Makamu wa Rais Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal Akutana na Mabalozi wa Wateule leo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-MZ-ACoK6psE/VdrvosJigNI/AAAAAAAB6KA/z8Ah54g0mUI/s640/6521.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JcWhMsFw06c/VdrvqmjzDtI/AAAAAAAB6KI/J29H3E-x0eE/s640/6525.jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA,JIJINI DAR
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ALIHUTUBIA TAIFA KWENYE TAMASHA LA MKESHA WA KULIOMBEA TAIFA, JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Makamu wa Rais Dkt. Bilal alihutubia kwenye tamasha la mkesha wa kuliombea taifa
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_8405.jpg)
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_8445.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Jan
Makamu wa Rais Dkt. Bilal alihutubia kwenye tamasha la mkesha wa kuliombea taifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na wananchi alipowasili Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jana usiku Disemba 31, 2014/2015 kwa ajili ya kuhudhuria Tamasha la mkesha wa Mwaka Mpya na Dua maalum ya kuliombea Taifa.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia Taifa kwenye Tamasha la Mkesha wa mwaka mpya wa 2015 iliyofanyika Disemba 31, 2014/2015 usiku wa kuamkia mwaka mpya...
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO SIKU YA MADAWA YA KULEVYA MBEYA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CMiZgU_UACc/VVH9sX6QiQI/AAAAAAADTIk/_ecny5t9aNo/s72-c/28138-mmg24051.jpg)
LOWASSA KUMUWAKILISHA MAKAMU WA RAIS DKT MOHAMMED GHARIB BILAL KWENYE HARAMBEE YA UCHAGIAJI UJENZI WA MSIKITI WA PATANDI, JIJINI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CMiZgU_UACc/VVH9sX6QiQI/AAAAAAADTIk/_ecny5t9aNo/s1600/28138-mmg24051.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AlzSNKf1oBw/VVH9E7wh7AI/AAAAAAADTIc/luAKLQJHWLM/s200/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. MOHAMMED GHARIB BILAL AHUDHULIA KONGAMANO LA KIMATAIFA KUHUSU BIASHARA HARAMU YA WANYAMAPORI NCHINI BOTSWANA LEO