Makamu wa Rais, Waziri wapingana
JOTO la Bunge la Katiba, limeendelea kupanda ambapo jana Waziri wa Katiba na Sheria wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Abubakar Khamis Bakary, alijikuta akipingwa na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Alli Iddi, kuhusu msimamo wa Zanzibar katika Bunge hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Wasanii wapingana sherehe ya kumpongeza Rais
NA MWALI IBRAHIM
UMOJA wa mashirikisho ya sanaa Tanzania umepinga uwepo wa Umoja wa Wasanii ulioandaa sherehe ya kumuaga Rais Jakaya Kikwete katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya umoja huo, Kimella Billa, alitangaza kutotambua umoja huo na kudai kwamba, kilichofanyika ni kinyume cha taratibu.
“Umoja huo haujasajiliwa, pia uwezo wa wasanii tunaufahamu, ni vigumu kufanya shughuli kubwa ile ambayo haikuwa na mdhamini, tunaamini kulikuwa na nguvu ya mtu...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Rais Dkt. Magufuli, Waziri Mkuu Majaliwa, wamtembelea Makamu wa Rais, Mhe. Samia ofisini kwake Ikulu Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, (kushoto) akizungumza na Makamu wake, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, wakati Rais na Waziri Mkuu walipomtembelea Makamu Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Nov 30, 2015 kwa mazungumzo. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli (kushoto) akiagana na Makamu wake, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1GqfSK_xj-0/VlxP2RRTkNI/AAAAAAAIJPw/QfGEuA69cQo/s72-c/2.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI, WAZIRI MKUU MAJALIWA, WAMTEMBELEA MAKAMU WA RAIS, MHE. SAMIA OFISINI KWAKE IKULU JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1GqfSK_xj-0/VlxP2RRTkNI/AAAAAAAIJPw/QfGEuA69cQo/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WlhlXeS-zzk/VlxPRGvqpDI/AAAAAAAIJPk/2X-2vMxHhu0/s640/3.jpg)
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DK. BILAL AONGOZA MAZISHI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA TUMISHI WA UMMA MAREHEMU CELINA KOMBANI LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aYLnlgQ7ZbY/Xq6KcZ5DUOI/AAAAAAALo4w/npua2-lz6hcONi0TBLl8ZMngCwfXHoU9QCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A3513-2.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AMEMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MAREHEMU BALOZI AUGUSTINE MAHIGA MKOANI IRIBGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aYLnlgQ7ZbY/Xq6KcZ5DUOI/AAAAAAALo4w/npua2-lz6hcONi0TBLl8ZMngCwfXHoU9QCLcBGAsYHQ/s640/F87A3513-2.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
WAZIRI MUHONGO AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA MCC
![8](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/84.jpg)
![9](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/96.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T4-dnCU6sII/VIgyfwD5B5I/AAAAAAAG2VI/rT2TqWdichM/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-T4-dnCU6sII/VIgyfwD5B5I/AAAAAAAG2VI/rT2TqWdichM/s1600/1.jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AMPOKEA MAKAMU WA RAIS WA CHINA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10