Wasanii wapingana sherehe ya kumpongeza Rais
NA MWALI IBRAHIM
UMOJA wa mashirikisho ya sanaa Tanzania umepinga uwepo wa Umoja wa Wasanii ulioandaa sherehe ya kumuaga Rais Jakaya Kikwete katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya umoja huo, Kimella Billa, alitangaza kutotambua umoja huo na kudai kwamba, kilichofanyika ni kinyume cha taratibu.
“Umoja huo haujasajiliwa, pia uwezo wa wasanii tunaufahamu, ni vigumu kufanya shughuli kubwa ile ambayo haikuwa na mdhamini, tunaamini kulikuwa na nguvu ya mtu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Feb
Makamu wa Rais, Waziri wapingana
JOTO la Bunge la Katiba, limeendelea kupanda ambapo jana Waziri wa Katiba na Sheria wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Abubakar Khamis Bakary, alijikuta akipingwa na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Alli Iddi, kuhusu msimamo wa Zanzibar katika Bunge hilo.
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0bgxfRLJTw/Xu8ooOB6fZI/AAAAAAALuzg/_18wmJJA_isqPVRzT91_rkVKL0S-30xMACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200621-WA0041.jpg)
Baraza la wazazi Njombe lapitisha azimio la kumpongeza Rais Magufuli
Akizungumza na Wajumbe wa Baraza hilo kwenye Ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Njombe Ndg, Hussein Mwaikambo Katibu wa Jumuiya hiyo alisema, katika Kipindi cha Miaka mitano Rais...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s72-c/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI YA USIKU WA JAKAYA JIJINI WASHINGTON DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p82ivnl_BuY/VB0owdIIEmI/AAAAAAAGkuo/zEPPIFx8jxY/s1600/0L7C1714.jpg)
10 years ago
Michuzi29 Jun
9 years ago
Bongo503 Nov
Wasouth wamponda Rais Jacob Zuma kwa kumpongeza Cassper Nyovest kufuatia kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000
![706x410q70ranjeni-heaviness](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/706x410q70ranjeni-heaviness-300x194.jpg)
Pongezi za Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kwa rapper Cassper Nyovest aliyeujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg, zimepokelewa kwa hisia tofauti.
Jumamosi iliyopita, Cassper aliweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza kuujaza ukumbi huo peke yake. Zuma aliamua kuungana na mamilioni ya mashabiki wa muziki nchini humo kutoa pongezi kwa hatua hiyo.
Kwenye maelezo yake mafupi, Zuma alielezea kufurahishwa na hatua hiyo ambayo mara nyingi imekuwa ikifanikishwa na wasani wa nje...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dqnasWvA1yM/VZAIty1tUjI/AAAAAAADttk/pvAcnVHlKYA/s72-c/ba1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPOKEA WAPANDA BASIKELI WALIOSAFIRI KILOMITA 830 KUTOKA MBEYA KUJA KUMPONGEZA IKULU, DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-dqnasWvA1yM/VZAIty1tUjI/AAAAAAADttk/pvAcnVHlKYA/s640/ba1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)