Makatibu wakuu na manaibu wao waapishwa Dar
Rais John Magufuli leo amewaapisha makatibu wakuu na naibu makatibu wakuu katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM BlogBALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA RASMI SEMINA ELEKEZI KWA MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi30 Dec
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-n-rIIL3MrJ8/VoQUnkFLd9I/AAAAAAAIPcs/RqLME5atAsg/s72-c/5aa3c565-fa36-40d8-814f-d724ca5285d3.jpg)
NRWS ALERT: RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ATEUA MAKATIBU WAKUU, MANAIBU MAKATIBU WAKUU NA KAIMU NAIBU KAMISHNA TRA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM JIONI HII
![](http://2.bp.blogspot.com/-n-rIIL3MrJ8/VoQUnkFLd9I/AAAAAAAIPcs/RqLME5atAsg/s640/5aa3c565-fa36-40d8-814f-d724ca5285d3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dRJDYAbSj3Q/VoQUnohdZdI/AAAAAAAIPcw/qTZogrLDFvE/s640/3f2db09b-3664-47b9-a1f6-28552e5e5984.jpg)
9 years ago
StarTV02 Jan
Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli amewaapisha Makatibu wakuu na Manaibu katibu wakuu wa wizara mbalimbali wa Serikali ya awamu ya tano, ikiwa ni mwendelezo wa kukamilisha uteuzi wa watendaji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia Rais Magufuli kufanya uteuzi wa Makatibu wakuu 29 na Manaibu katibu wakuu 21 na jumla yao kuwa 50, Desemba 29 huku akimbakiza katika nafasi yake Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.
Januari mosi ya mwaka 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Rais Magufuli afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu na Kaimu Naibu Kamishn TRA Nchini!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu Ikulu jijini Dar es Salaam jioni ya leo December 30, 2015. Kushoto ni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, na kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakisikiliza kwa makini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.
Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
Katibu Mkuu...
9 years ago
CCM Blog04 Jan
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/sIQbbmJ6guU/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Rais Dkt. John Pombe Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu leo Ikulu Jijini Dar
![IMG_0311](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0311.jpg)
![IMG_0322](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0322.jpg)
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Makatibu Wakuu na Manaibu kuapishwa kesho Januari Mosi, Ikulu jijini Dar!!
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Kesho Ijumaa 01 Januari, 2016 Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wataapishwa rasmi katika Ukumbi wa Ikulu, uliopo lango kuu litazamalo baharini kuanzia saa nne asubuhi.
Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wote ambao wataapishwa na wale ambao walishaapishwa wanapaswa kuhudhuria katika tukio hili, ili...