Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKUNDI MATANO YAINGIA FAINALI YA DANCE 100%

Washiriki wa shindano la dance 100% wa kundi la”Wakali sisi” Buguruni jijini Dar es Salaam,wakionesha umahiri wao wa kudansi wakati wa mchuano wa nusu fainali ya shindano hilo lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lililofanyika  kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,Makundi 5 kati ya 10 yameingia fainali itakayofanyika mwezi ujao.
Meneja… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAKUNDI MATANO YAINGIA FAINALI YA DANCE 100%CHINI YA VODACOM

Washiriki wa shindano la dance 100% wa kundi la”Wakali sisi” Buguruni jijini Dar es Salaam,wakionesha umahiri wao wa kudansi wakati wa mchuano wa nusu fainali ya shindano hilo lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lililofanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay,Makundi 5 kati ya 10 yameingia fainali itakayofanyika mwezi ujao.Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,akikausha maji ya mvua iliyokuwa ikinyesha kwa wingi wakati shindano la nusu fainali...

 

10 years ago

GPL

MAKUNDI KUMI YAINGIA NUSU FAINALI YA DANSI 100%

Kikundi cha  Quality Boys cha Kinondoni jijini Dar es salaam, kikionyesha umahiri  wao wa wakati wa robo fainali ya shindano la Dance100%  lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay  jijini Dar es Salaam .Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania  mshindi wa shindano hilo atajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5.…
...

 

9 years ago

Michuzi

MAKUNDI MATANO YATINGA FAINALI YA SHINDANO LA DANCE100%

 Kundi la Wazawa crew  la Tandale jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi  wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi Vijana wanaounda Kundi la WDW la  jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi wakati wa...

 

9 years ago

GPL

MAKUNDI MATANO YATINGA FAINALI YA DANCE100%‏

MAJOKELI: Baadhi ya Vijana wanaounda kundi la Majoker Crew la Msasani Wilaya ya Kinondoni, wakikongo nyoyo za mashabiki wakati wa nusufainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi. MAKOLOKOCHO; Wasanii wa...

 

11 years ago

Michuzi

Robo fainali ya Dance 100% yanukia

Kikundi cha Wakali Dance kutoka Bugurunii jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kucheza wakati wa shindano la Dance miamia lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay chini ya udhamini wa Vodacom Tanzania.Wakati wa shindano la kutafuta makundi 16 ya kuingia robo fainali itakayoanza Agosti 23 na kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5. Vijana wanaounda Kundi la Mob Squad wa Wilaya ya Temeke wakionyesha umahiri wao...

 

10 years ago

Mwananchi

Musu fainali Dance 100 Septemba 13

Safari ya vijana wenye vipaji vya kucheza staili mbalimbali za muziki nchini maarufu kama Dance 100, kuwania kitita cha Sh5 milioni, imefikia patamu baada ya kupatikana makundi 10 yatakayochuana hatua ya nusu fainali.

 

11 years ago

GPL

ROBO FAINALI YA DANCE 100% 2014 YANUKIA

Kikundi cha   Wakali Dance  kutoka  Bugurunii jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kucheza  wakati wa shindano la Dance miamia lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay chini ya  udhamini wa Vodacom Tanzania.Wakati wa shindano la kutafuta makundi 16 ya kuingia robo fainali itakayoanza Agosti 23 na kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5.
...

 

10 years ago

GPL

FAINALI YA DANCE 100 J'MOSI CHINI YA VODACOM TANZANI‏

Meneja wa Uhusiano wa Umma  wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana juu ya fainali  ya mashindano hayo yatakayofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini. Kulia ni Mratibu wa shindano  hilo la Dance 100%, Happy Shame. Mratibu wa shindano la Dance 100%, Happy Shame ( kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam… ...

 

11 years ago

Michuzi

VODACOM YASABABISHA VILIVYO ROBO FAINALI YA DANCE 100 CHANG'OMBE

Kikundi cha Street Dance cha Mbagara jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kudansi wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali za shindano hilo ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5.Wachezaji wa kundi la Manuary kutoka Majohe Pugu jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani