MALI ZILIZOMZIMISHA GWAJIMA!
![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH*rqqNey0xWHDvmolR5dSvqraG7XiGhChxjU7fAP*7HjZrCpWilkdluoruOAIbyqOkl1YvTKKocZ6uXv0Qu1Nii/Untitled2.jpg?width=650)
KWA wiki moja sasa, baadhi ya vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti kwamba, kujisikia kizunguzungu hatimaye kuanguka na kupoteza fahamu kulikomtokea Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima wakati akihojiwa na polisi kulitokana na kuulizwa maswali yaliyohusu namna alivyozipata mali zake, Risasi Jumamosi linakupa zaidi. Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Machi 28, mwaka huu Mchungaji Gwajima...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...