Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MALIZA TATIZO LA UNENE NA CLEAN 9 NDIO HABARI YA MUJINI!

Inline image 1
Loosing weight is a matter of choice, you can be of a big size and comfortable with your weight...BUT it becomes necessary when your weight reaches a point where you will be attracting lifestyle diseases like diabetes and high blood pressure.
Remember its not only about how you look its also about your health.
Call us if you need more details about how you can loose the extra fats,look young and healthy. 
Tunatumia Natural products CLEAN 9 
Ina mchanganyiko wa bidhaa nne (Alovera...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

‘Skylight Sunday Bonanza’‬ ndio habari ya mujini jumapili ya leo ndani kiota cha Escape One

DSC_0464

Rapa Mkongwe wa muziki wa dansi wa Skylight Band, Joniko Flower akiwasebenesha sehemu ya mashabiki wao Jumapili iliyopita kwenye Skylight Sunday Bonanza‬ kiota cha Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam

Waimbaji wa Bandi ya Skylight, Leah pamoja na  Suzy wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Escape One jumapili iliyopita sasa leo sio siku ya kukosa njoo ujionee mambo mapya kutoka kwenye bandi ya Skylight.


Ukafika muda wa kuzungusha mduara na kuona...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band ndio habari ya mujini kwa sasa, karibu Thai Village tusebeneke pamoja leo

DSC_0274

Kikosi kazi cha Skylight Band kikiwajibika jukwaani Ijumaa iliyopita kwenye show zake za kila siku ya Ijumaa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar…..Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Aneth Kushaba AK47, Sony Masamba, Mary Lucos na Sam Mapenzi.

DSC_0099

Mary Lucos na Hashim Donode wakisebeneka huku Joniko Flower akipiga vocal kwenye show ya aina yake iliyowabamba mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0076

Joniko Flower na Digna Mbepera...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND NDIO HABARI YA MUJINI KWA SASA, KARIBU THAI VILLAGE TUSEBENEKE PAMOJA LEO‏

Kikosi kazi cha Skylight Band kikiwajibika jukwaani Ijumaa iliyopita kwenye show zake za kila siku ya Ijumaa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.....Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Aneth Kushaba AK47, Sony Masamba, Mary Lucos na Sam Mapenzi. Mary Lucos na Hashim Donode wakisebeneka huku Joniko Flower akipiga vocal kwenye show ya aina yake iliyowabamba mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band ndio habari ya mujini kwa sasa, Karibuni kiwanja kipya cha Lukas Pub tusebeneke leo

 Skylight Band ni mwendo wa kutoa raha sana tukutane Ijumaa hii ndani ya kiota cha Lukas Pub  Masaki jijini Dar kwa kuburudika na band hii  Waimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani ya kukata na shoka kwenye stageni na  moja ya nyimbo zao  Joniko Flower naye katika muziki wa live hashikiki kwa sauti,viuno mpaka pumzi ni hatareeeee         

KUNAKO Nigeria Flavour….. Sam Mapenzi akitoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake waliokuwa wakimpa support ya nguvu kwenye...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA@53..HABARI YA MUJINI DEC 6, WASHINGTON DC



                   More Details Soon!!

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI YA MUJINI NI UHURU NIGHT..DEC 6 WASHINGTON DC HAPATOSHI

****************ADMISSION PER PERSON: $100PRICE INCLUSIVE OF:*3 Course Dinner*Diamond & WCB Dancers Live Performance*Ultra Exclusive Red Carpet Feat. Premiere Host*Free Professional Photography Pictures*Elegant Ambiance & Settings*Cash Bar*Ample ParkingFOR TICKETS VISIT: WWW.DIAMONDUSATOUR.COMKARIBUNI

 

10 years ago

Vijimambo

MDOGO WAKE DIAMOND HII NDIYO HABARI YA MUJINI



Kila kitu saa ni Oficial mdogo wake Diamond Esma na Petitman hii ndiyo habari ya mujini wamesha funga ndoa sasa ni kupika na kupakuwa kwa nafasi hile kiroho safi.Meneja wa msanii, Mirror na mfanyakazi wa kampuni ya Wema Sepetu, Endless Fame Films, Petit Man ambaye awali alidaiwa kuwa na uhusiano na Kajala, kisha kuwa na mdogo wake Vanessa Mdee, amethibitisha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada yake Diamond Platnumz, Esma na kwamba ana mipango ya kufunga naye ndoa.“Ni kweli Esma ni mchumba...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGAYA KIMATAIFA BAADA YA MICHEZO YA LEO HII NDIYO HABARI MUJINI

Mtokea ya michezo ya leo ya ligi ya VPL na Kimataifa kwa timu ya wanawake Twiga Stars aka vitaulo.Timu ya simba imefikisha point 32 baada ya kushinda mechi yake ya Leo.Simba imeshinda goli 3-0 dhid ya Ruvu shooting...Magoli ya Simba yamefungwa na. Ibrahim Ajib dk ya 60 kwa penati, HawadhJuma, dk ya 61 na goli la 3 na elias Maguli dk ya 75.
COASTAL UNION YAPIGWA NA AZAMTimu ya Azam imeshinda 1_0 dhidi ya coastal union katika Uwanja waMkwakwani,Tanga.Goli la Azam FC lilifungwa na John boko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani