Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malkia amtunza Angelina Jolie

Malkia wa Uingereza amewakumbuka wacheza sinema na waandishi wa habari wa BBC katika tuzo anazotoa kila mwaka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Brad Pitt na Angelina Jolie waoana

Pitt na Jolie walifunga pingu za maisha nchini Ufaransa Jumamosi na kumaliza miaka mingi ya suitofahamu ikiwa watawahi kuoana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Angelina Jolie akatwa nyumba ya uzazi

Angelina Jolie amelazimika kutoa mishipa ya kupitisha mayai na vifuko vya mayai ilikupunguza hatari ya kuathirika na saratani

 

10 years ago

GPL

ANGELINA JOLIE AFANYIWA UPASUAJI, ATOLEWA OVARI, MIRIJA YA UZAZI

Angelina Jolie. MWIGIZAJI wa filamu nchini Marekani, Angelina Jolie amelazimika kutoa ovari zake pamoja na mirija ya uzazi baada ya uchunguzi kuonesha kuwa alikuwa katika hatari ya kuathirika na saratani ya nyumba ya uzazi. Angelina Jolie, mumewe Brad Pitt wakiwa na watoto wao. Staa huyo maarufu wa Hollywood amelidokezea jarida la New York Times, kuwa alilazimika kutoa viungo hivyo wiki iliyopita katika upasuaji wa dharura....

 

9 years ago

Bongo5

Angelina Jolie na Brad Pitt kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria

Couple ya waigizaji, Angelina Jolie na mumewe Brad Pitt wanatarajia kuongeza member mpya kwenye familia yao yenye watoto 6. Kwa mujibu wa Radar Online, couple hiyo inasemekana wanatarajia kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria. Chanzo kimoja kimesema kuwa kwasasa wako kwenye taratibu za mwisho za kumuasili mtoto huyo yatima ambaye Jolie alikutana naye alipotembelea vituo […]

 

9 years ago

Bongo5

Angelina Jolie: Mimi na Brad Pitt tuna matatizo kama wanandoa wengine

bradjelina_2980307b

Mastaa nao wapo kama sisi tu.

bradjelina_2980307b

Angelina Jolie alizungumzia maisha na mume wake Brad Pitt Jumapili ya Nov. 8, na kuweka wazi kuwa mastaa hao nao wana wakati wa shida na raha kama watu wengine kwenye uhusiano.

“Mimi na Brad tuna matatizo kama wanandoa wengine wowote,” Jolie, 40, aliliambia gazeti la The Telegraph wakati akipromote filamu yake mpya, By the Sea. “Tuna siku ambazo hujikasirisha vibaya sana lakini matatizo kwenye filamu hii sio yetu wenyewe.”

Filamu hiyo iliyoongozwa na Jolie...

 

10 years ago

Bongo5

Angelina Jolie na Brad Pitt wauza picha zao za harusi kwa shilingi bilioni 3.3

Kanye West na Kim Kardashian walikataa kuuza picha zao za harusi lakini si kwa Angelina Jolie na Brad Pitt. Mastaa hao ambao kwa pamoja hujulikana kama Brangelina wameuza picha zao za harusi kwa dola milioni 2, ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 3.3 za Tanzania. Kiasi hicho cha fedha kimepatikana baada ya kulipwa na majarida […]

 

11 years ago

BBC

What I would tell Angelina

Messages to war rape summit from African survivors

 

11 years ago

BBC

Jolie: Time for action on war rape

Governments will be held to account over ending sexual violence in war zones, Angelina Jolie tells the BBC during a global conference in London.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani