MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA KIMATAIFA WA "LUGINA AFRICAN MIDWIVES RESEARCH NETWORK" HUKO KUNDUCHI BEACH HOTEL.
![](http://2.bp.blogspot.com/-4vR8-cD0ytc/VQCDG9krePI/AAAAAAAHJqQ/IzZu6zYLJxo/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Kaimu Muuguzi Mkuu wa serikali Dkt. Amalberga Kasangala mara baada ya kuwasili kwenye Hoteli ya Kunduchi Beach kufungua rasmi “The Scientific Conference for Lugina Africa Midwives Research Network-LAMRN” tarehe 11.3.2015. Aliyesimama kushoto kwa Mama Salma ni Ndugu Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni akifuatiwa na Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA ELIMU
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA 9 WA WAKE WA MARAIS KUHUSU KANSA HUKO NAIROBI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6MTKxwCx5DQ/U7-MMQt--9I/AAAAAAAF0z8/bEcrJOIaDOI/s72-c/unnamed+(5).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA MWAKA WA TAASISI YA SEGAL FAMILY HUKO NGURDOTO- ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6MTKxwCx5DQ/U7-MMQt--9I/AAAAAAAF0z8/bEcrJOIaDOI/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tcqVUXu8J3s/U7-MM16sIyI/AAAAAAAF00I/Asxjm0G1dyg/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Dlb53tWjMzA/U7-MNBpXtuI/AAAAAAAF00A/gaP5_t5HwWc/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUTUBIA MKUTANO WA AFYA KUHUSU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI, MATITI NA TEZI HUKO NEW YORK.
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA ELIMU: KUWAWEZESHA VIJANA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI YA KIAFYA BARANI AFRIKA
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA HUKO AFRIKA KUSINI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1165.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2124.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Tamasha la NHC Family Day lafanyika Kunduchi Beach Hotel
Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa wakisimamia michezo mbalimbali wakati wa tamasha la NHC Family Day lililofanyika kwenye hoteli ya Kunduchi Beach mwishoni mwa wiki likishirikisha wafanyakazi wa shirika hilo jijini Dar es salaam na familia zao na kufahamiana ikiwani pamoja na kubadilishana mawazo.
Wafanyakazi hao wakishindana katika mbio ufukweni.
Mmoja wa wafanyakazi wa NHC akiwa...