Mambo yoote Jangwani leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-gtnq48ryULA/VdmKAe4DnLI/AAAAAAAHzNY/1TsGfzH3G18/s72-c/unnamed.jpg)
Kwa wale ambao wako mikoani na wale waliopo nje ya nchi, mnaweza kutazama Uhuru Tv kwenye kinga'amuzi cha Digitek na Azam chanel number 2017 au online www.uhurutv.co au www.ccmtv.co Itakuwa live kutoka Jangwani.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Mambo shaghalabaghala Jangwani
11 years ago
GPLMAMBO YAZIDI KUNOGA JANGWANI
9 years ago
StarTV29 Aug
Ukawa leo Jangwani
![Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi](http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/isaya-mngurumi_210_120.jpg)
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushirikiana na muungano wa vyama vingine vitatu vinavyounda umoja uliobatizwa jina la Ukawa, leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Chama hicho kimetamba kufanya ufunguzi wa kampeni wa kihistoria.
Hatua hiyo imekuja baada ya chama hicho kuruhusiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi, kutumia uwanja huo ambao awali...
11 years ago
GPLMAFURIKO JANGWANI LEO
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Jangwani Hapatoshi kuanzia leo
Licha ya mamlaka ya hali ya hewa kutangaza mvua kali na upepo na kuwataka watu wasitoke njee.watu wameamua kulala hapo hapo.
The post Jangwani Hapatoshi kuanzia leo appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Ukawa waanza kazi Jangwani leo
11 years ago
GPL12 Apr
9 years ago
GPLMAELFU WALIVYOMPOKEA MAGUFULI JANGWANI, LEO
9 years ago
Habarileo23 Aug
Magufuli kunguruma viwanja vya Jangwani leo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinatarajiwa kuzindua kampeni zake za urais, ubunge na udiwani nchi nzima katika viwanja vya Jangwani leo, katika mkutano utakaorushwa moja kwa moja na televisheni na redio mbalimbali nchi nzima.