Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamilioni ya dola kwa picha za Marais

Utawala wa Ghana umetumia karibu dola milioni moja kubandika picha za Rais John Mahama na watangulizi wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mamilioni ya dola kurejeshwa Switzerland

Serikali ya Switzerland inatarajiwa kurejesha kiasi cha dola za Kimarekani milioni 340 yaliyoibwana na Rais Sani Abacha Nigeria.

 

10 years ago

Ykileo

MAMILIONI YA DOLA YAIBIWA KATIKA MABENKI KUPITIA WIZI MTANDAO

Baada ya kikao kilichofanyika wiki iliyopita chuo kikuu cha Stafford ambapo Rais Obama wa marekani alikutana na wafanya biashara, Wanasheria na wasimamizi washeria kujadili hali ya mtikisiko wa maswala ya usalama mitandao, Inadhihirisha wazi bado kuna safari ndefu kukabiliana na wimbi hili la uhalifu mtandao duniani kote.


Hii ni kutokana na ukweli kwamba Tishio la uhalifu mtandao na utayari wa kukabiliana nao bado kuna kutowiana ipasavyo ingawa jitihada bado ni kubwa kuweza kukabiliana na...

 

5 years ago

Michuzi

KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI


Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha


Na Ahmed Mahmoud Arusha

CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.

Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita

nyerere_karume_and_moyo

Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.

nyerere_karume_and_moyo

Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.

Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: 50 Cent aringishia mabunda ya dola 100 Instagram kuthibitisha kuwa hajafilisika!

Baada ya 50 Cent kutangaza kuwa amefilisika mwezi July mwaka huu, ameibuka na kuringishia mabunda ya dola mia mia kwa followers wake zaidi ya milioni 6.5 wa Instagram. Siku chache baada ya kuripotiwa kuwa jumba lake la kifahari ambalo alitangaza kuliuza kwa dola milioni 18.5 mwaka 2007 kushushwa bei na sasa linauzwa kwa dola milioni […]

 

10 years ago

Bongo5

Niko sawa tu — asema Collo kwenye picha akiwa na noti za kutisha za dola mia mia!

Rapper wa Kenya, Collo anaweza kuwa amepotea kwa kiasi kwenye mawimbi ya redio na TV licha ya kuwa na ngoma mpya za hapa na pale, lakini haimaanishi kuwa amepigika. Pengine anataka kudhihirisha hilo kwa mashabiki wake ndio maana ameamua kupost picha Instagram akiwa ameshika lundo la kutisha la noti za dola mia mia! “Sina ubaya […]

 

10 years ago

GPL

MARAIS WALIOUAWA KWA KUPIGWA RISASI

BAADA ya wiki iliyopita kuwaletea marais wa Afrika waliofia madarakani. Yaani walikuwa wakiongoza nchi zao wakakumbwa na mauti. Wiki hii tunawaletea marais waliouawa kwa kupigwa risasi wakiwa madarakani.

ABRAHAM Lincoln; alikuwa Rais wa 16 wa Marekani. Aliuawa mwaka 1865 jijini Washington kwa kupigwa risasi kichwani kwa nyuma na John Wilkes. Alikuwa amekaa na mkewe. Bastola iliyotumika inaitwa Deringer.

INDIRA...

 

9 years ago

Mtanzania

Watumishi wasimamishwa kwa ubadhirifu wa mamilioni

Antony-MtakaNa Upendo Mosha, Hai

SERIKALI imewasimamisha kazi watumishi wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai  kwa muda usiojulikana kwa tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Sh milioni 70.

Vilevile imemfukuza kazi mhasibu mmoja wa Hospitali Teule ya Machame kwa tuhuma hizo hizo.

Mkuu wa Wilaya ya Hai, Antony Mtaka, alisema jana kuwa watumishi hao wamesimamishwa kazi   baada ya kuthibitika kufanya ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma.

Alisema   wawili kati yao ni maofisa wa halmashauri hiyo ambao  wanadaiwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?-3

KATIKA makala ya leo, nawaletea habari inayomhusu Rais wa 25 wa nchi ya Marekani.

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani