Mamilioni ya dola kwa picha za Marais
Utawala wa Ghana umetumia karibu dola milioni moja kubandika picha za Rais John Mahama na watangulizi wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Mamilioni ya dola kurejeshwa Switzerland
10 years ago
YkileoMAMILIONI YA DOLA YAIBIWA KATIKA MABENKI KUPITIA WIZI MTANDAO
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Tishio la uhalifu mtandao na utayari wa kukabiliana nao bado kuna kutowiana ipasavyo ingawa jitihada bado ni kubwa kuweza kukabiliana na...
5 years ago
MichuziKALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI
Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.
Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
9 years ago
Bongo515 Oct
Picha: 50 Cent aringishia mabunda ya dola 100 Instagram kuthibitisha kuwa hajafilisika!
10 years ago
Bongo525 Feb
Niko sawa tu — asema Collo kwenye picha akiwa na noti za kutisha za dola mia mia!
10 years ago
GPLMARAIS WALIOUAWA KWA KUPIGWA RISASI
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Watumishi wasimamishwa kwa ubadhirifu wa mamilioni
Na Upendo Mosha, Hai
SERIKALI imewasimamisha kazi watumishi wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kwa muda usiojulikana kwa tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya Sh milioni 70.
Vilevile imemfukuza kazi mhasibu mmoja wa Hospitali Teule ya Machame kwa tuhuma hizo hizo.
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Antony Mtaka, alisema jana kuwa watumishi hao wamesimamishwa kazi baada ya kuthibitika kufanya ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma.
Alisema wawili kati yao ni maofisa wa halmashauri hiyo ambao wanadaiwa...
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?-3
KATIKA makala ya leo, nawaletea habari inayomhusu Rais wa 25 wa nchi ya Marekani.
Mwandishi Wetu