Picha: 50 Cent aringishia mabunda ya dola 100 Instagram kuthibitisha kuwa hajafilisika!
Baada ya 50 Cent kutangaza kuwa amefilisika mwezi July mwaka huu, ameibuka na kuringishia mabunda ya dola mia mia kwa followers wake zaidi ya milioni 6.5 wa Instagram. Siku chache baada ya kuripotiwa kuwa jumba lake la kifahari ambalo alitangaza kuliuza kwa dola milioni 18.5 mwaka 2007 kushushwa bei na sasa linauzwa kwa dola milioni […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Aug
Picha: Tazama utani wa dharau ambao 50 Cent amemuonesha Diddy Instagram
9 years ago
Bongo511 Nov
Jux aonesha milioni 100 kwenye Instagram (Picha)
![page](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/page-300x194.jpg)
Kumiliki shilingi milioni 100 kwa wakati mmoja kwa watu wengi ni ndoto nadra kutimia. Kwa Jux hizo ni fedha anazozishika kila wakati na ndio maana haoni hatari kuwaonesha mashabiki wake kwenye Instagram.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Jux amepost picha za fedha hizo zilizo kwa dola na kuandika:
It’s 50k in USD, its 100million in TSHs I think I don’t have a bad weekend I saw my first 100mil when I was 22 now it’s not new anymore go hard everything is possible in God I trust don’t forget...
10 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Huddah Monroe aringishia mkoko wake mpya
10 years ago
Bongo506 Jan
Picha: Mayweather aringishia magari yenye thamani tshs bilioni 13 na private jet
9 years ago
Bongo512 Oct
Ni kweli zimeisha? 50 Cent anauuza mjengo wake kwa dola milioni 8.5!
10 years ago
Bongo524 Sep
Picha: Amber Rose ashare picha yake ya utupu Instagram (18+)
10 years ago
Bongo518 Sep
Chris Brown azungumzia uhusiano wake na Karrueche na kuthibitisha kuwa wako pamoja na hawakuachana
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Aliyeiba dola Milioni 100 arejeshwa China
11 years ago
Habarileo17 May
Bunge lapewa dola 100,000 kununua vifaa
CHAMA kinachoshughulika katika kupunguza silaha na maridhiano nchini China, kimetoa dola 100,000 (Sh milioni 160) kwa ajili ya kununua vifaa mbalimbali kwa matumizi ya Bunge, ikiwa ni pamoja na kompyuta na vipaza sauti vya kisasa.