Man united yamnunua Di Maria
Manchester United wamekubali kumnunua mshambulizi Angel di Maria kwa pauni milioni 59.7
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Man United kumkosa Di Maria
Manchester United itamkosa Angel Di Maria,ambaye anahudumia mafuruku ya mechi moja baada ya kupewa kadi nyekundi dhidi ya Arsenal
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Di Maria ajuta kujiunga na Man United
Kiungo wa kati wa Manchester United Angel Di Maria amesema kuwa alifanya makosa kujiunga na Kilabu ya Manchester United
11 years ago
TheCitizen31 Aug
Burnley hold Man United on Di Maria debut
British-record signing Angel di Maria was unable to inspire Manchester United to victory on his debut as they drew 0-0 at Burnley in the Premier League yesterday.
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Manchester United kumuuza Di Maria
Di Maria hajaonyesha umahiri wake tangu aliposajiliwa katika kilabu ya Manchester united kutoka Real Madrid
10 years ago
Africanjam.Com
MSIMAMO WA DI MARIA, KUBAKI AU KUONDOKA MANCHESTER UNITED..

Di Maria amekuwa kwenye wakati mgumu katika msimu wake wa kwanza baada ya kuonekana amecheza chini ya kiwango katika msimu ambao United imemaliza kwenye nafasi ya nne na kufanikiwa kufuzu michuano ya ligi ya mabingwa ambayo...
10 years ago
Africanjam.Com
ANGEL DI MARIA APOLOGIZES TO MANCHESTER UNITED SUPPORTERS

Di Maria's departure was not the main subject of debate about his limited days in a United shirt. Rather the cost of the transfer.Having moved to United from Real Madrid for £59million, he was sold to PSG for...
11 years ago
GPL
MANCHESTER UNITED WATENGA PAUNI MILIONI 100 KWA DI MARIA
Angel Di Maria. KLABU ya Manchester United imetenga kitita cha pauni milioni 100 kwa ajili ya usajili na mshahara wa winga wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Argentina, Angel Di Maria. Daley Blind. Pauni milioni 50 zinatarajiwa kutumika kumsajili staa huyo wa Real Madrid huku mshahara wake kwa wiki ukitarajiwa kuwa pauni 200,000. Kocha wa United, Louis van Gaal amemtaka Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Ed Woodward… ...
11 years ago
GPL
DI MARIA ASAINI MIAKA 5 MAN U
WINGA Angel di Maria amejiunga rasmi na klabu ya Manchester United kwa ada ya pauni milioni 59.7 kwa mkataba wa miaka mitano. Angel di Maria akipozi na Meneja wa Manchester United, Louis van Gaal. Di Maria amekamilisha usajili huo leo usiku na atakuwa akilipwa pauni 200,000 kwa wiki nyuma ya Wayne Rooney anayelipwa zaidi klabuni hapo. Staa huyo aliyetokea Real Madrid amevunja rekodi ya Ligi Kuu ya England kwa uhamisho wake wa...
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Liverpool,Man City zashinda Man United nje
Kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp,ameandikisha ushindi wake wa kwanza,huku Man United ikiambulia kichapo mikononi mwa Middlesbrough
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania