Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man United yang’ara England

BAO la dakika za mwisho la kujifunga la Troy Deeney liliipeleka Manchester United kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu katika mechi ya jana baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Beckham, mwanaye wang’ara mechi ya uchangiaji England

David Beckham na mtoto wake Brooklyn wamecheza pamoja katika timu nyota Uingereza na Ireland XI dhidi ya timu ya Nyota wengine wa Dunia na kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 kwenye mchezo wa uchangishaji fedha.

 

10 years ago

Mwananchi

Chelsea, Manchester City zang’ara Ligi Kuu England

 Chelsea imeendelea kujiimarisha kileleni mwa Ligi Kuu England ikiwa na pointi 32 bila mpinzani baada ya kuilaza West Brom kwa mabao 2-0.

 

10 years ago

Mwananchi

Vipaji Siri ya nyota Amerika Kusini kung’ara England, Ulaya

Soka linabaki kuwa moja ya mchezo unaopendwa zaidi duniani, huku makocha wakiumiza vichwa kusaka mafanikio kwa kusajili nyota wa kuwang’arisha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool,Man City zashinda Man United nje

Kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp,ameandikisha ushindi wake wa kwanza,huku Man United ikiambulia kichapo mikononi mwa Middlesbrough

 

9 years ago

TheCitizen

Man City slip allows Man United to claim summit

Manchester United exploited Manchester City’s 4-1 defeat at Tottenham Hotspur by beating Sunderland 3-0 on Saturday to replace their rivals at the top of the Premier League table.

 

10 years ago

BBCSwahili

FA: Man United kuivaa Cambridge United

Manchester United itashuka dimbani kuikabili timu ya Cambridge United katika mchezo wa marudio kombe la FA.

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA : Man United, Man City zachapwa

Timu za Uingereza za Man United na Man City zimeanza vibaya michuano ya kombe la klabu bigwa barani Ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani