MAONI: CCM inatambulisha mgombea kwa wanachama au wapigakura?
>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jana imebariki mikutano ya hadhara inayofanywa na Chama cha Mpinduzi (CCM) kwa kivuli cha kumtambulisha Dk John Magufuli, ambaye ameteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Oct
Mgombea ccm avuna wanachama wa ukawa
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kupenya ngome ya UKAWA baada ya kuvuna wanachama kutoka matawi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kile cha wananchi (CUF), katika Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Jimbo la Ubungo ni ngome ya UKAWA, na linatetewa na CHADEMA ambacho kililitwaa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na pia kilishinda mitaa mingi ya jimbo hilo katika uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa.
CCM imepenya ngome hiyo ya UKAWA baada ya mgombea Ubunge wa chama...
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
9 years ago
Vijimambo01 Sep
MGOMBEA MWENZA URAIS CCM AZUNGUMZA NA WANACHAMA UWT DODOMA
![Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akizungumza na akinamama wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) na kuwaomba kushirikiana na kuhakikisha wanashinda na kupata heshima hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0341.jpg)
![Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wakiwa katika mkutano na mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu jana katika Ukumbi wa NEC ofisi za makao Makuu ya CCM Dodoma.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_0318.jpg)
![Mgombea mwenza wa nafasi ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu akizungumza na akinamama wanachama wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) na kuwaomba kushirikiana na kuhakikisha wanashinda na kupata heshima hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_02091.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Jul
MAONI: Pongezi CCM kumpata mgombea urais
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Mgombea Mwenza CCM avunja ngome ya ACT Tanga, avuna wanachama 272 wa upinzani
![](http://4.bp.blogspot.com/-SM0qDysKlWY/VgBCTEJMNvI/AAAAAAAAD_k/knwj7xtSkGg/s640/IMG_0256.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sdtN-4_DDDs/VgBCU3izZvI/AAAAAAAAD_0/f_Tt1XRbpH4/s640/IMG_0297.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JN_n99gvQjE/VgBCfnOq5QI/AAAAAAAAEBU/ACfsn4TKFxw/s640/IMG_0448.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/IMG_0256.jpg)
MGOMBEA MWENZA CCM AVUNJA NGOME YA ACT TANGA, AVUNA WANACHAMA 272 WA UPINZANI
10 years ago
Vijimambo12 Jul
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SM0qDysKlWY/VgBCTEJMNvI/AAAAAAAAD_k/knwj7xtSkGg/s72-c/IMG_0256.jpg)
Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Hassan Avunja Ngome ya ACT Tanga, Avuna Wanachama 272 wa Upinzani
![](http://4.bp.blogspot.com/-SM0qDysKlWY/VgBCTEJMNvI/AAAAAAAAD_k/knwj7xtSkGg/s640/IMG_0256.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sdtN-4_DDDs/VgBCU3izZvI/AAAAAAAAD_0/f_Tt1XRbpH4/s640/IMG_0297.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JN_n99gvQjE/VgBCfnOq5QI/AAAAAAAAEBU/ACfsn4TKFxw/s640/IMG_0448.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kTugum0Lk4w/VjMoe6HeKGI/AAAAAAAIDdU/PVlkQr8icJs/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
PONGEZI KWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA WANACHAMA WA CCM,TAWI LA CCM CHINA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kTugum0Lk4w/VjMoe6HeKGI/AAAAAAAIDdU/PVlkQr8icJs/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)