Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maonyesho ya Harusi Trade Fair 2015 kufanyika Machi 13-14 ndani ya Danken House

Bisiness Development Maneger wa 361 degree, Hamis .K. Omary  (wa pili kutoka kulia) akiongea na wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo

Meneja Biashara wa 361 degree, Hamis Omary (wa pili kutoka kulia) akiongea na wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa utambulisho huo.

…Vinywaji vya Baileys & Johnnie Walker Gold Label wajitokeza kudhamini

 Na Andrew Chale wa Modewji blog

Maonyesho ya siku mbili ya Harusi Tanzania maarufu kama ‘Harusi Trade Fair 2015’, yanayotarajiwa kufanyika Machi 13-14 mwaka huu katika ukumbi wa Danken House, uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Wakiongea na wandishi wa habari  mapema jana Machi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Harusi Trade Fair 2015: Will you VISIT?

HARUSI TRADE FAIR 2015 -VISITORS

WHEN? 13 & 14 March 2015
WHERE? Danken House, Mikocheni, Dar es Salaam
WHAT TIME? 10Am to 8 Pm
WHY ATTEND? click HERE

Kindly forward this to all your family/friends Getting Married and make it a point to VISIT this wedding EXPO which is OPEN toPUBLIC

Tanzania's ONE & ONLY Wedding EXPO & bridal SHOWVALENTINE OFFER: 10% OFF

WEDDING SUPPLIERS:
BOOK + PAY (by 14th February)
Get 10% Discount

Contact: +255787747918

INSTAFOLLOW: @harusitradefair

TWEET US: @harusitradefairShare

 

11 years ago

Michuzi

HARUSI TRADE FAIR: 11&12 April - See You Soon

PARTICIPANTS 2014 SHAYLAND PHOTOGRAPHY, AN NISA ABAYA, SHEKINA GARDENS, E-CAKES,  JD PHARMACY, RUSSEL HOBBS, MALAIKA MEDIA, LOTUS CREATIVE CONCEPTS, NELWAS GELATO, IMAGING SMART, NASIM BARDE, HIMA SOMANI, MELIA ZANZIBAR, BIG SOLUTION LTD, BAWARCHI RESTAURANT, HYATT REGENCY, BAHARI BAKERY LTD, O M Gift,  HEAVENLY LOOKS,  GOLD CREST HOTEL, BANG!  MAGAZINE,  WEIGHT LOSS PROGRAM, HUGO DOMINGO, QUEENS GEMS & JEWELLERS,  POSH SALOON,  MC LUVANDA,  VAYLE SPRINGS LTD,  ROBIN BATISTA,  101 STUDIOS...

 

10 years ago

TheCitizen

INSIGHT: How fair trade isn’t seen to be fair at all

>I am not exactly rich, but I do enjoy the pleasures of living in a wealthy country. I call a peaceful, green suburb of the Australian metropolis Melbourne “home”.  Working around 50 hours per week, I earn more than I need to cover my basic needs. In fact, I am one of those privileged individuals, who use the surplus left after paying all bills to let their money work for them, enjoying the magic of earning interest on interest.

 

10 years ago

Michuzi

Kilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi

Mbio za 13 za Kilimanjaro Marathon ambazo zimepangwa kufanyika Machi 1, 2015 mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zimepata msisimko mpya baada ya wanariadha nyota wa Tanzania kuthibitisha kushiriki.
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKA MACHI 8, 2015


Tarehe 8 Machi, 2015 Tanzania itaungana na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Kwa mwaka huu, tunaadhimisha siku hii adhimu katika ngazi ya kitaifa ambapo mkoa wa Morogoro utakuwa mwenyeji wa Maadhimisho haya. Mikoa mingine itakuwa na fursa ya kuandaa maadhimisho haya katika maeneo yao kwa kuzingatia mazingira yao. 

Maadhimisho haya hutoa fursa kwa Taifa, mikoa, wilaya na wadau wengine kupima mafanikio yaliyopatikana katika kuwendeleza wanawake na...

 

10 years ago

Vijimambo

SABASABA WINDHOEK LUNCH PARTY ILIVYOJUMUISHA WADAU WA VIP WAKITAIFA NA KIMATAIFA KATIKA UKUMBI WA DANKEN HOUSE MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM

Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Limited James Rugemalira akitangaza nia na kuwakaribisha wageni mbalimbali katika hafla hiyo ya Sabasaba Windhoek Lunch Party. Bwana Rugemalira (kulia) akimweleza jambo Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Kansa kutoka nchini India Profesa. Antony Pais walipokutana katika hafla hiyo. Bwana James Rugemalira (kulia), akiteta jambo na Mwenyekiti wa Ukanda Maalumu wa Kiuchumi Mkoa wa Tanga, Chris Incheul Chae ambaye pia...

 

11 years ago

TheCitizen

JK to open second Tanga International Trade Fair

Tanga. President Jakaya Kikwete is tomorrow expected to open the Second Tanga International Trade Fair at Tangamano Grounds, 

 

11 years ago

TheCitizen

I was lucky in Dar trade fair, says exhibitor

Ms Amina Hassan Madeleka describes herself as one of the luckiest exhibitors in the just ended 38th Dar es Salaam International Trade Fair (DITF).

 

11 years ago

Dewji Blog

Trade Fair Open to Public Visit

1960962_10152299227077162_1062442313_o

The fifth edition of  the Tanzania first and premier wedding fair will be held this year from  11- 12 April at Parthenon Hall Grounds (Greek Club) filled with the very best of wedding suppliers and stakeholders for all wedding requirements.

Organized by 361 Degrees, Tanzania’s Leading event planner and creators; business development manager of this huge and remarkable annual event Hamis Omary stated “Now in its Fifth year, the event has grown from strength to strength and has become a must...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani