MAONYESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU YANAANZA.
Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel (Wa pili kutoka kulia) akiwaonyesha ramani ya maonyesho ya Kimataifa ya Elimu kwa wadau wa Elimu waliojitokeza kushiriki maonyesho yanayoanza Leo Desemba 17-21, 2014 katika viwanja Mwalimu Julius Kambarage Nyerere vilivyoko Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Uwakala wa Vyuo kutoka Nje Global Education Link Bw. Abdulmalik Mollel akielezea maonyesho ya Kimataifa ya Elimu yanayoanza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Dec
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
10 years ago
GPLMAONYESHO YA KWANZA KIMATAIFA YA ELIMU KUANZA DES 10 DAR
10 years ago
MichuziMAONYESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU YAANZA LEO JIJINI DAR.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6XYOWdO67R0/VII3n2UZ79I/AAAAAAABGMI/Oaz4ArokC5g/s72-c/IMG_2963.jpg)
MAONYESHO YA KIMATAIFA YA ELIMU KUANZA DISEMBA 17-21, 2014 JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-6XYOWdO67R0/VII3n2UZ79I/AAAAAAABGMI/Oaz4ArokC5g/s1600/IMG_2963.jpg)
Kampuni ya Global Education Link (GEL) kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Wizara ya Elimu na Ufundi pamoja na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) wameandaa maonyesho ya kwanza ya kimataifa ya elimu (TIEE) yanayotarajiwa kufanyika Disemba 17 hadi 21 mwaka huu katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eMh7a7DYeKg/VJMSesok6uI/AAAAAAAG4Rk/N9XlMbAiH3Q/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
BANDA LA MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU GEPF KWENYE MAONYESHO YA ELIMU YA KIMATAIFA LAVUTIA WENGI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eMh7a7DYeKg/VJMSesok6uI/AAAAAAAG4Rk/N9XlMbAiH3Q/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w5aeI-ryfnw/VJMSeozKYeI/AAAAAAAG4Ro/DK0HUmDv2b8/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Maonyesho ya kimataifa ya elimu yaanza katika viwanja vya Mwl. J. K Nyerere SabaSaba jijini Dar
10 years ago
MichuziUTT AMIS YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA 39 NA KUTOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWENYE MIFUKO YA PAMOJA KWA WANANCHI
Mpaka sasa UTT AMIS inaendesha mifuko mitano ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa Wekeza Maisha, Mfuko wa Watoto,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s640/unnamed%2B(64).jpg)