Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yaiadhibu Tanzania

usaid-fund*Ni kwa makosa yaliyofanyika Zanzibar

*Sheria ya makosa ya mtandao yaumiza

Na Mwandishi Wetu

MAREKANI imeinyima Serikali ya Tanzania msaada wa dola milioni 472 (zaidi ya Sh trilioni moja) za msaada za mfuko wa changamoto za milenia (MCC).

Wakati Tanzania ikinyimwa fedha hizo nchi za Ivory Coast, Kosovo na Senegal zimepewa huku Niger, Nepal na Ufilipino zikifuzu vigezo vya kupatiwa msaada huo kwa mwaka 2016.

Ripoti ya MCC ambayo MTANZANIA Jumamosi imeiona inaonyesha kuwa Bodi ya kuidhinisha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MARK CHILDRESS BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI‏

Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress akikaribishwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Afisa Ubalozi Suleiman Saleh siku ya Alhamisi April 24, 2014 alipotembelea Ubalozi huo na kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress kwa Maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi… ...

 

11 years ago

Michuzi

MARK CHILDRESS, BALOZI MPYA WA MAREKANI NCHINI TANZANIA, ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI

Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress akikaribishwa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Afisa Ubalozi Suleiman Saleh siku ya Alhamisi April 24, 2014 alipotembelea Ubalozi huo na kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Liberata Mulamula (hayupo pichani) Balozi Liberata Mulamula akimtambulisha Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania Mhe. Mark Childress kwa Maafisa na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Balozi huyo alipotembelea Ubalozi huo siku ya Alhamisi...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI AKABIDHI HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi akiwa na Rais wa Marekani Mhe. Barack Obama mara baada ya kukabidhi hati za utambumbulisho (White House). Washington DC. Mhe. Wilson Masilingi   Pamoja na Familia yake wakiwa Katika nyuso za furaha mara baada ya kukabidhi hati za utambulisho  Ikulu ya Marekani(White House).  Kutoka kushoto ni Mtoto wa Balozi ndugu Nelson Masilingi, Rais wa Marekani Barack Obama, Balozi Wilson Masilingi, pamoja na Marystella Masilingi. Mke wa Balozi.

 

10 years ago

Vijimambo

MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.





 The Ambassador of the United Republic of Tanzania


                                                      to the United States of America
 H.E. Ambassador Liberata Mulamula

 


has the pleasure to cordially invite you
 to a Barbeque Farewell


 Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)

at 


 Ambassador’s Residence


1 Highboro Court
Bethesda, MD...

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaiadhibu Tottenham 3 - 0

Liverpool imeiadhibu Tottenham kwa kuichapa magoli 3 - 0 katika mechi iliyochezwa jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yaiadhibu Newcastle 5-0

Kilabu ya Manchester City ilipata ushindi wao mkubwa zaidi katika ligi ya EPL msimu huu kwa kuicharaza Newcastle 5-0

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaiadhibu Galatasaray

Chelsea yafuzu kwa robo fainali ya ligi ya mabingwa Uropa baada ya kuilaza Galatasaray 2-0

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaiadhibu Liverpool 2-0

Chelsea wamewanyamazisha vinara wa ligi kuu ya England, Liverpool kwa kuwacharaza 2-0

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaiadhibu Stoke 5 - 3

Liverpool jumamosi iliwanyoa Stoke City kwa jumla ya magoli 5 -3 katika mchezo wa ligi kuuu ya England na kuifanya ipunguze pointi dhidi timu iliyopo juu ya msimamo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani