Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masaibu ya wakimbizi Sudan Kusini

Licha ya Mkataba wa amani Sudan Kusini maelfu wanaendelea kuumia. Mwandishi wetu Emmanuel Igunza ametembelea kambi moja ya wakimbizi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

UN yawatelekeza wakimbizi Sudan Kusini ?

Umoja wa mataifa umejitetea vikali kutokana na ukosoaji kwamba inawabagua wakimbizi ndani ya makao yake Sudan Kusini Juba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Masaibu ya wakimbizi wa Darfur

Wakimbizi wanaoishi katika kambi moja huko Darfur wanaelezea masaibu yao miaka 5 tangu watimuliwe makwao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Sudan.K wamiminika Kenya

Huku mapigano yakiendelea Sudan Kusini, mamia ya wakimbizi wanaendelea kuingia nchi jirani ya Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

MSF: kambi za wakimbizi Sudan K. hazifai

MSF imeshutumu vikali UN kwa kuwaweka wakimbizi Sudan Kusini katika mazingira duni.

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

GPL

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati  Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa  makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Sudan kusini

Viongozi wa pande zinazopingana Sudan, hawajaunda serikali ya mpito katika kipindi cha siku 90 kama ilivyokubaliwa mwezi wa 8.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Sudan Kusini imeporomoka?

Nchi changa zaidi duniani Sudan Kusini, imeorodheshwa kama nchi ya kwanza yenye hali tete zaidi duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani