UN yawatelekeza wakimbizi Sudan Kusini ?
Umoja wa mataifa umejitetea vikali kutokana na ukosoaji kwamba inawabagua wakimbizi ndani ya makao yake Sudan Kusini Juba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 May
Masaibu ya wakimbizi Sudan Kusini
Licha ya Mkataba wa amani Sudan Kusini maelfu wanaendelea kuumia. Mwandishi wetu Emmanuel Igunza ametembelea kambi moja ya wakimbizi
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Wakimbizi wa Sudan.K wamiminika Kenya
Huku mapigano yakiendelea Sudan Kusini, mamia ya wakimbizi wanaendelea kuingia nchi jirani ya Kenya.
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
MSF: kambi za wakimbizi Sudan K. hazifai
MSF imeshutumu vikali UN kwa kuwaweka wakimbizi Sudan Kusini katika mazingira duni.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s72-c/sa.jpg)
MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OTfgCgzQ4cc/VMFF6IRr4AI/AAAAAAAArYg/Rem_av2t1hY/s1600/sa.jpg)
Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s72-c/s5.jpg)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)
![](http://3.bp.blogspot.com/-town7it9WZs/VMEjUisBRYI/AAAAAAAG_EM/U3NrHfhmslk/s1600/s5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CGWwFxEqLd7gX4643x-Hp-OMwOUHhjcXHzTlXRRH25e6Gw-*9qfgCq0jwFpkdb0KoTLoEpc6WbvawWFsPFes14X3E5u8bV23/sp4.jpg?width=750)
Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Je Sudan Kusini imeporomoka?
Nchi changa zaidi duniani Sudan Kusini, imeorodheshwa kama nchi ya kwanza yenye hali tete zaidi duniani.
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Maslahi ya UG, Sudan Kusini
Serikali ya Uganda imekiri kuwapeleka wanajeshi wake kusaidia wanajeshi wa Sudan kupambana na waasi wa Riek Machar
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mzozo wa Sudan kusini
Viongozi wa pande zinazopingana Sudan, hawajaunda serikali ya mpito katika kipindi cha siku 90 kama ilivyokubaliwa mwezi wa 8.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania