Mashirika yasio ya kiserikali yafutiwa leseni kenya
Serikali ya Kenya imefutulia mbali leseni za mashirika 510 yasio ya kiserikali ikiwemo 15 ambayo yametuhumiwa kuhusika na ugaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mashirika yasio ya kiserikali taabani Kenya
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mashirika yasiyo ya kiserikali yashauriwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y1SJ43tlQCw/XvMFCsbPvII/AAAAAAALvLg/ayiEKSc_FdoZRs7apts8-v9vfwwLqhvuwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.54.45%2BPM.jpeg)
HOSPITALI YA CCBRT YATEMBELEWA NA MAAFISA WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y1SJ43tlQCw/XvMFCsbPvII/AAAAAAALvLg/ayiEKSc_FdoZRs7apts8-v9vfwwLqhvuwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.54.45%2BPM.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi, aliwapitisha katika maeneo kadha na vitengo tofauti katika hospitalini hiyo ili kujionea namna wanavyofanya kazi na kuwahudumia watanzania.
Hata hivyo Maafisa kutoka ofisi ya Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali hapa nchini wamefurahishwa na kazi tunazozifanywa ...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali imeendelea kujenga mazingira wezeshi kwa ajili ya mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s)
Mkurugenzi wa Kitengo cha Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Bw. Marcel Katemba akiongea na waandishi wa habari( Hawapo pichani)kuhusu juhudi zinazofanywa na serikali katika kuyajengea mazingira mazuri ya ufanyaji kazi Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) ili kuongeza ushiriki na kutoa mchango wao katika kuleta maendeleo katika jamii, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jiijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s72-c/tt.png)
KUSUDIO LA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOJIENDESHA KINYUME CHA SHERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s1600/tt.png)
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anakusudia kuyachukulia hatua Mashirika yanayoendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa mwaka 2005.
Mashirika hayo ni yale ambayo hayajawasilisha taarifa za mwaka kwa kipindi cha miaka miwili pasipo kutoa sababu za msingi, kulipa ada ya mwaka au kuendesha shughuli za NGOs bila kusajiliwa chini ya Sheria ya NGOs.Kwa taarifa hii, Mashirika husika yanatakiwa yawe yamerekebisha dosari tajwa...
11 years ago
GPLMUUNGANO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOTETEA HAKI ZA WANAWAKE WASHEREKEA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
NSSF yaendesha kongamano la Waajiri wa Taasisi mbalimbali za Kiserikali na zisizo za Kiserikali Mkoani Tanga!
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati akifungua kongamano la waajiri wa Taasisi mbalimbali ikiwemo za Kiserikali na zisizokuwa za kiserikali zilizokuwa na makao makuu yake mkoani Dar es Salaam lililofanyika jana mkoani Tanga kwenye hotel ya Tanga Beach, (Picha na Mwandishi Wetu).
Meneja Matekelezo na Kumbukumbu wa NSSF Makao Makuu, Maryam Muhaji akizungumza kwenye kongamano la waajiri wa Taasisi mbalimbali ikiwemo za...
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Kenya yafuta leseni za wakala wa riadha