HOSPITALI YA CCBRT YATEMBELEWA NA MAAFISA WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y1SJ43tlQCw/XvMFCsbPvII/AAAAAAALvLg/ayiEKSc_FdoZRs7apts8-v9vfwwLqhvuwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.54.45%2BPM.jpeg)
HOSPITALI ya CCBRT wametembelewa na Maafisa kutoka ofisi ya Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali hapa nchini, kwa lengo la kujionea kazi zinazofanywa na CCBRT.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi, aliwapitisha katika maeneo kadha na vitengo tofauti katika hospitalini hiyo ili kujionea namna wanavyofanya kazi na kuwahudumia watanzania.
Hata hivyo Maafisa kutoka ofisi ya Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali hapa nchini wamefurahishwa na kazi tunazozifanywa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Mashirika yasiyo ya kiserikali yashauriwa
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s72-c/tt.png)
KUSUDIO LA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOJIENDESHA KINYUME CHA SHERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ILTOZE9i1aw/VoyUg8H5UOI/AAAAAAAIQuE/H08d71uv0fM/s1600/tt.png)
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anakusudia kuyachukulia hatua Mashirika yanayoendesha shughuli zao kinyume cha Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa mwaka 2005.
Mashirika hayo ni yale ambayo hayajawasilisha taarifa za mwaka kwa kipindi cha miaka miwili pasipo kutoa sababu za msingi, kulipa ada ya mwaka au kuendesha shughuli za NGOs bila kusajiliwa chini ya Sheria ya NGOs.Kwa taarifa hii, Mashirika husika yanatakiwa yawe yamerekebisha dosari tajwa...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali imeendelea kujenga mazingira wezeshi kwa ajili ya mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s)
Mkurugenzi wa Kitengo cha Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Bw. Marcel Katemba akiongea na waandishi wa habari( Hawapo pichani)kuhusu juhudi zinazofanywa na serikali katika kuyajengea mazingira mazuri ya ufanyaji kazi Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) ili kuongeza ushiriki na kutoa mchango wao katika kuleta maendeleo katika jamii, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jiijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa...
11 years ago
GPLMUUNGANO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YANAYOTETEA HAKI ZA WANAWAKE WASHEREKEA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mashirika yasio ya kiserikali taabani Kenya
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Mashirika yasio ya kiserikali yafutiwa leseni kenya
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
BOA yasheherekea Pasaka na watoto waliolazwa Hospitali ya CCBRT
Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akikabidhi vifaa vya masomo kwa watoto waliolazwa kwenye hospitali ya CCBRT ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka na watoto hao.
Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akiwahudumia chakula watoto waliolazwa kwenye hospitali ya CCBRT ikiwa ni sehemu ya kusherehekea sikukuu ya Pasaka na watoto hao.
Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Benki of Afrika, BOA, Wasia Mushi akikabidhi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0Ez6zNJDtHI/VnKb68GKnjI/AAAAAAAINFA/KvQ5agn1xss/s72-c/003.CCBRT.jpg)
MAPAMBANO YA FISTULA YANAENDELEA KWA USHIRIKIANO WA HOSPITALI YA CCBRT NA VODACOM FOUNDATION
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Ez6zNJDtHI/VnKb68GKnjI/AAAAAAAINFA/KvQ5agn1xss/s640/003.CCBRT.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FZmre4Bbgac/VnKb7gCCuCI/AAAAAAAINFE/B0-ocZbZUQU/s640/001.CCBRT.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FzA-QSh-Bf4/VnKb5vr99lI/AAAAAAAINE4/P0maSBMt3Hg/s640/002.CCBRT.jpg)