Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASOGANGE ASHTUSHWA NA USHINDI WA MAKALIO YAKE

Imelda Mtema
MODO maarufu Bongo, Agness Gerad ‘Masogange’ ameshtushwa na ushindi wa makalio yake baada ya kutojua kama ametajwa kuwa ni mwanamke mwenye makalio mazuri Afrika Mashariki. Modo maarufu Bongo, Agness Gerad ‘Masogange’. Masogange alishinda nafasi hiyo kupitia utafiti uliofanywa na mtandao wa Media Take Out ambapo kwa kutumia vigezo vyao, walimwanika Masogange kuwa ndiye mwanamke pekee...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASOGANGE APINGA KUFUNIKWA MAKALIO

Stori: Imelda Mtema MODO anayesifika kwa kujaliwa makalio, Agnes Jerald ‘Masogange’ amepata mpinzani lakini akachomoa kuhusu suala la kufunikwa. Modo anayesifika kwa kujaliwa makalio, Agnes Jerald ‘Masogange’ katika pozi tofauti. Masogange alizungumza hayo juzikati baada ya kukutana na mrembo aliyejulikana kwa jina la Samia pande za Sauzi.… ...

 

10 years ago

GPL

MAKALIO YAMPAISHA MASOGANGE MAREKANI

Na Hamida Hassan/Ijumaa
Staa  aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na makalio yake, Agnes Gerald ‘Masogange’ sasa amepaa kimataifa zaidi na kuwa  gumzo hadi Marekani baada ya hivi karibuni mtandao mmoja wa watu maarufu nchini humo kumpa shavu. Staa  aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na makalio yake, Agnes Gerald ‘Masogange’. Masogange aliripotiwa na mtandao wa Media Take Out na...

 

9 years ago

GPL

MASOGANGE: SIISHI KWA MAKALIO YANGU

Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’. Imelda mtema Kumbe! Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amewabwatukia watu wanamsonga na maneno kuwa anaishi mjini kwa kuyanadi makalio yake mtandaoni. Akizungumza Ijumaa Wikienda hivi karibuni, Masogange alisema kuwa umbo lake amejaliwa na Mungu na halitumii kama vile wengi wanavyodhani kuwa anajinadi kwenye mitandao ili kuwakamata midume....

 

11 years ago

GPL

MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU

Stori: Imelda Mtema
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio. Video Queen ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi...

 

10 years ago

GPL

MADONNA AONYESHA MAKALIO YAKE KATIKA RED CARPET ZA TUZO ZA GRAMMY 2015

Madonna akionyesha makalio yake. MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa Pop nchini Marekani asiyeishiwa vituko, Madonna jana ametoa kali nyingine baada ya kuinua juu gauni lake na kuonyesha makalio yake wakati akipiga picha za red carpet kwenye zoezi la utoaji Tuzo za 57 za Grammy. Madonna akiwasili katika red carpet ya Tuzo za Grammy 2015 akiambatana na mwanamuziki Nas. Madonna… ...

 

10 years ago

Habarileo

JK ashtushwa kifo cha Rais wa Zambia

RAIS Jakata Kikwete ameelezea kuguswa, kushtushwa na kusononeshwa na taarifa za kifo cha Rais wa Zambia, Michael Chilufya Sata kilichotokea juzi Jumanne katika Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77. Katika salamu zake alizomtumia Makamu wa Rais wa Zambia, Dk Guy Scott kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Rais Kikwete amesema:

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza Akata Rufaa Dhidi ya Ushindi wa Sugu, Asema Atamlea Mtoto Wake na Kuvaa Mavazi Yake!

Staa wa Bongo Movies, Faiza Ally aliyekuwa mchumba wa mbunge wa Mbeya Mjini, Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’  amekata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa hivi juzi ambayo ilimpa ushindi Sugu na hivyo kumchukua mtoto (Sasha) baada ya Faiza kuonekana kuwa ana muharibu mtoto kutokana na tabia zake ususani mavazi.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Faiza mbali na kuelezea rufaa yake ameeleze pia masikitiko yake kutokana na baadhi ya watu kumshabulia kwa maneno makali  juu ya mavazi yake...

 

10 years ago

GPL

IDD AZZAN ASHTUSHWA KUPIGWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA

Mbunge wa Kinondoni, Idd Mohamed Azzan. Stori: OSCAR NDAUKA
KUMEKUCHA sasa! Mbunge wa Kinondoni kwa ‘leseni’ ya chama tawala (CCM), Idd Mohamed Azzan ameibuka na kusema kuwa ameshangazwa na habari zilizotangazwa na kituo kimoja cha runinga nchini kwamba amesema mwaka huu hataweka mguu wake kugombea ubunge wa jimbo hilo. Akizungumza na Uwazi ‘Mizengwe ya Uchaguzi’ jijini Dar hivi karibuni, mheshimiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Msajili Mahakama Kuu ashtushwa na kesi IPTL

>Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Amiri Musumi ameshtushwa na taarifa kuwa hukumu ya kesi ya Tanesco dhidi ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), ilimalizika saa 8:30 usiku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani