MASOGANGE APINGA KUFUNIKWA MAKALIO
![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2CuNffB3R11Dkzj4nHLzqzUDG3HWZ0pkFL5D5fbd8aYYiMH5iTUKoNTywm-JZjaUyR3OjBlfW6VUgcUoFocBqc/masogange.jpg?width=650)
Stori: Imelda Mtema MODO anayesifika kwa kujaliwa makalio, Agnes Jerald ‘Masogange’ amepata mpinzani lakini akachomoa kuhusu suala la kufunikwa. Modo anayesifika kwa kujaliwa makalio, Agnes Jerald ‘Masogange’ katika pozi tofauti. Masogange alizungumza hayo juzikati baada ya kukutana na mrembo aliyejulikana kwa jina la Samia pande za Sauzi.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YIi6je0KpJNYVIretpuoPGWMJmGaAaSw7LDtE98n2Y3ODSqa-RtbJGLvJj8hzqP2lRzAfODJ-y3iv7VoRCSLhqgB6jbJLtPp/Masogange.jpg)
MAKALIO YAMPAISHA MASOGANGE MAREKANI
Na Hamida Hassan/Ijumaa
Staa aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na makalio yake, Agnes Gerald ‘Masogange’ sasa amepaa kimataifa zaidi na kuwa gumzo hadi Marekani baada ya hivi karibuni mtandao mmoja wa watu maarufu nchini humo kumpa shavu. Staa aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na makalio yake, Agnes Gerald ‘Masogange’. Masogange aliripotiwa na mtandao wa Media Take Out na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAjpbJ4wkfK7MO*UWOE-0VJjVDSOB67CbAXnzlO*CcyFI3h--OLBYhMGKf6C1c4Se3UfeQHIKc6nh-P-oa2Fz24C/12.jpg?width=650)
MASOGANGE ASHTUSHWA NA USHINDI WA MAKALIO YAKE
Imelda Mtema
MODO maarufu Bongo, Agness Gerad ‘Masogange’ ameshtushwa na ushindi wa makalio yake baada ya kutojua kama ametajwa kuwa ni mwanamke mwenye makalio mazuri Afrika Mashariki. Modo maarufu Bongo, Agness Gerad ‘Masogange’. Masogange alishinda nafasi hiyo kupitia utafiti uliofanywa na mtandao wa Media Take Out ambapo kwa kutumia vigezo vyao, walimwanika Masogange kuwa ndiye mwanamke pekee...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee4*s-IrcAm*IkqNEZZHowDCVoq0VRl3M9QTP23Vel-TePwRKS2Z-RfKuhmG8opubXQgOsDCKfMXG7js0VQkMDZWo/224c285ccdf511e387450002c9d797d6_8.jpg?width=650)
MASOGANGE: SIISHI KWA MAKALIO YANGU
Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’. Imelda mtema Kumbe! Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amewabwatukia watu wanamsonga na maneno kuwa anaishi mjini kwa kuyanadi makalio yake mtandaoni. Akizungumza Ijumaa Wikienda hivi karibuni, Masogange alisema kuwa umbo lake amejaliwa na Mungu na halitumii kama vile wengi wanavyodhani kuwa anajinadi kwenye mitandao ili kuwakamata midume....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6aBJIQTwXqC*yPRVFg1q9PyOqyVT4WBIXVN8OUHS0tAB37fQ7KoauItL7QSrK-eE4rWkxzG0kdhBsvSA16toGSZ/MASOGANGE.jpg?width=650)
MASOGANGE: MAKALIO YANGU NDIYO KILA KITU
Stori: Imelda Mtema
VIDEO QUEEN ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hakuna kitu anakizimikia kwenye mwili wake kama makalio. Video Queen ‘grade one’ Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ asogange aliiambia Bongowood kuwa:“Hakuna sehemu ninayoipenda kama makalio, yamekaa vizuri, nayapenda, najidai kupitia sehemu hiyo niliyojaaliwa na Mwenyezi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqFvw18kiKeJR8CRsLh5StEOpCqoKRUTWVkitZqf6XjRRuJhQfxZrZ5EDf2oRzGpTOSoqZpk2bSo6u-zFoOULJy/1.jpg?width=650)
WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro umepatikana. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeN0USWN0ePczV5SNlUe7WhJ9f9W4rACov6pIjTVPD8lHdbttw2YDgvtSJF-wH20uKIdf11ZBgmGdwFtU2DyWMh/150430072306_nepal_teenager_rescued_five_days_640x360_reuters_nocredit.jpg?width=650)
NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO
Kijana aliyeokolewa baada ya kufunikwa na kifusi kwa siku tano wakati wa tetemeko la ardhi mjini Kathmandu. Kufuatia tetemeko kubwa la aridhi kuukumba Mji wa Kathmandu nchini Nepal siku tano zilizopita, waokoaji wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya kufunikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko hilo. Licha ya kuwa chini ya maporomoko ya vifusi hivyo kwa siku tano,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s72-c/IMG-20140714-WA0003.jpg)
Breaking Nyuzzzz: WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO
Zaidi ya watu wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa tofari. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro. Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana za kufukulia kifusi.![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s1600/IMG-20140714-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sbP_7JUmCV0/U8OoDrN-K8I/AAAAAAAF2BY/fJ2wMNQwu5Y/s1600/IMG-20140714-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8V4iA-UKltU/U8OoFVH2-8I/AAAAAAAF2Bg/WrquhKDeEjA/s1600/IMG-20140714-WA0000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V9M5yD8pkM0/U8OoB-Q5CDI/AAAAAAAF2BQ/8m5LbPEUIPw/s1600/IMG-20140714-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sbP_7JUmCV0/U8OoDrN-K8I/AAAAAAAF2BY/fJ2wMNQwu5Y/s1600/IMG-20140714-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8V4iA-UKltU/U8OoFVH2-8I/AAAAAAAF2Bg/WrquhKDeEjA/s1600/IMG-20140714-WA0000.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4eheHYrXlEA/U8OoHnxpleI/AAAAAAAF2Bo/3xoFkONwSvE/s1600/IMG-20140714-WA0001.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*B66rzP7SkyDD-X11snXFFb68lrAnIbsdQx7R5OLRgRltgG8hsHIu0DD2lyWKeSEGW9NBuYnYzpViwWJBN3n2FR/file.jpg?width=650)
MAIMARTHA ANANGWA MAKALIO YA KICHINA
Na Gladness Mallya
KUTOKANA na kubadilika kimuonekano na kila kukicha makalio kuzidi kuwa makubwa, mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse amenangwa kwamba anatumia dawa za Kichina kuyaongeza ukubwa. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse. Tofauti na alivyokuwa zamani, Maimartha kwa sasa anaonekana kuwa na makalio makubwa hali ambayo imewashtua baadhi ya wadau wake wa karibu na kusema kwamba mwanadada huyo anatumia dawa...
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Makalio madogo kikwazo Venezuela
Wanawake nchini Venezuela wanatumia kemikali haramu kuongeza ukubwa wa makalio na kujiletea madhara makubwa ya kiafya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania