MATATIZO YA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA (CONGENITAL HEART DISEASE) -2
![](http://api.ning.com:80/files/aDnEqQYbuL8APkPZR290HfXlABb448v2XiXZ0l47-8gsG-vkUxItASzY8FA*n0ue8chMsxIKegIjx6j674QoZ1lyBkePvICe/GetImage.aspx.jpg?width=650)
Wiki iliyopita tulikuwa tumeanza kuzungumzia juu ya matatizo ya moyo ya kuzaliwa sehemu ya kwanza, leo tunaendelea sehemu ya pili na ya mwisho.Vilevile sababu nyingine inayoweza kufanya mtoto azaliwe na matatizo ya moyo ni ugonjwa wa kisukari kwa mama wakati wa ujauzito. Leo tuangalie tatizo la mtoto kuzaliwa na tundu katika kuta za juu za moyo au Atrial Septal Defect (ASD). Wakati kijusi (fetus) kinapoendelea kukua, kuta kati...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZLGLe-y4DN-I5AGddes69hIx7QcguuQfGm4h3JtpGDaeRfHIvRtn-f4mfwmY917swDAEdvSiQrKZJ2MA0*28fx/heart_1_lg.jpg?width=650)
MATATIZO YA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA (CONGENITAL HEART DISEASE)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYr25p2jWtsgdt0B5lAwFLA0ahVWM0Y5MPBetNfhyLMztdIFWSMreyn8OMu2D-GygdOTMa0QOqB8Bt4ABFSuOLeI/heart_interior.gif?width=650)
MATATIZO YA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA (CONGENITAL HEART DISEASE) -3
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
SW: Can Earlobe Creases Be a Sign of Heart Disease?
Could that small vertical mark on your ear have something to do with heart disease? Here is a simple test that could protect you from serious damage to your health.
In 1973, a doctor named Sanders T. Frank conducted a number of studies to determine whether an earlobe crease, known as “Frank’s sign”, could be an indicator of coronary artery disease. He found that patients who had creases running at an angle from the bottom of their ear opening to the edge of their ear lobe were at higher...
5 years ago
Live24 Mar
What patients with heart disease should know about COVID-19 - Emergency
9 years ago
Daily News11 Sep
Dar gets centre for heart disease research
Daily News
Daily News
THE Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) has officially launched the Centre of Excellence for Cardiovascular Sciences project (CoECS). It aims at contributing to the development of relevant and highly skilled workforce in ...
5 years ago
Phys.Org09 Mar
Study of hunter-gatherer community shows that how humans rest may affect their risk for heart disease