Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mateka waendeshwa kwata Ukraine

Wapiganaji wa mashariki mwa Ukraine wawapitisha barabara za Donetsk wanajeshi waliowateka huku wakizomewa na raia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MDAHALO WA KIMATAIFA WA KUPAMBANA NA UGONJWA WA CORONA WAENDESHWA NA TAGLA KWA NJIA YA VIDEO

MDAHALO wa kimataifa umeendeshwa na Wakala ya Mafunzo kwa nia ya Mtandao (TaGLA) ikishirikisha nchi za Korea ya Kusini, Sri Lanka, Thailand, Japan na Shirika la Afya Duniani. Wawasilisha mada walisisitiza muhimu wa kuwatafuta, kuwatenga, kufanyia uchambuzi wa haraka na kutibu kila mgonjwa atakaepatikana. Juhudi hizo zimguse kila mtu, kila familia, jamii na kitaifa ili kuleta ufanisi kutokomeza janga hili la ugonjwa wa corona. Washiriki kutoka Tanzania walikuwa madaktari, wasomi, viongozi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yapigishwa kwata Mbeya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mbeya kimeingia katika mgogoro na wapangaji wake, ambao hawataki kulipa madeni ya pango kwa madai mali zinazomilikiwa na chama hicho si zao bali wamezipora....

 

11 years ago

Mwananchi

Wampigisha kwata Waziri wa Afya

Wabunge wanawake bila kujali itikadi za vyama juzi usiku waliungana kuibana Serikali wakishinikiza iongeze fedha za Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ya mwaka 2014/15 ili kukabiliana na vifo vya kina mama na watoto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam yawapigisha kwata Ruvu JKT

Goli lililofungwa na Kipre Tchetche lilitosha kuipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya timu ya JKT Ruvu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahariri wapigishwa kwata ya soka Mtwara

TIMU ya Jukwaa la Wahariri Nchini (TEF ) kutoka jijini Dar es Salaam, juzi  walitandikwa mabao 5-1 na Waandishi wa habari mkoani hapa katika mechi ya kirafiki iliyochezwa uwanjwa wa...

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YAIPIGISHA KWATA TANZANIA PRISONS, YAIFUNGA 5-0

 Beki wa Simba, Mohamed Hussein akiwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Beki wa Tanzania Prisons akichuana na mshambuliaji wa Simba.Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Tanzania Prisons 5-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mohamed Hussein wa Simba akiwania mpira na beki wa...

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU, YAICHAPA 2-0



Wachezaji wa Yanga wakishangilia bao lililofungwa na Kelvin Yondani katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo.

Hadi filimbi ya mwisho Yanga 2, JKT Ruvu.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA BAO 3 - 1

 Simon Msuva (kushoto) akimkumbatia Mrisho Ngasa huku Danny Mrwanda. Kulia ni Danny Mrwanda baada ya kuifungia kimu yake bao la tatu ambapo Yanga ilishinda 3-1. (Picha zote na Francis Dande) Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda akichuana na Damas Makwaya wa JKT Ruvu (kushoto), katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa leo.Msuva akimtoka beki wa JKT Ruvu, Mohamed Faki akiambaa na mpira. Mrisho Ngasa (kushoto) akichuana na Mohamed Faki.

BOFYA HAPA KUONA PICHA...

 

10 years ago

BBCSwahili

Is wanamshikilia mateka mwingine

Wanamgambo wa Islamic State wametoa video nyingine inayomuonyesha mwandishi wa uingereza John Cantlie waliyemteka nyara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani